Nimechanganyikiwa! Nimemsaliti GF wangu, kwa kumpa mimba mwingine..

hahahahaaa!&lt;br /&gt;<br />
Arusha kuna masoko mjingaa!&lt;br /&gt;<br />
Muulize preta anayajua!
<br />
<br />
Ninachojua soko mjinga lipo Tanga tena ni soko maarufu sana, ila kwa Arusha labda lipo mm sifahamu.
 
kama nakuona siku hiyo wakati unajipinda tena bila condom kwa dem ambae huna hata feelings nae
hivi tunaenda wapi jamani,hatujifunzi? mtu huna mpango nae inakuwaje mnafanya bila kinga? au mlipima?
haya sasa jikaze mwambie mwenzako kabla hajaambiwa na mtu mwingine maana kosa litakuwa juu ya kosa
 
Reactions: EMT
nasikitika kutangaza kifo cha strit boy kilichotokea leo jioni makongo. habari ziwafikie wana jf wote. kwa wale wanaotaka kufika msibani washukie makongo sec wauluze kwa captain zengo. rip strit boy
 
umekula HG nini mazee? km ulivyokuwa unamega ndivyo fanya hivyo hivyo kwenye kulea!
 
Kaka mbona unakula matapishi yako mwenyewe? wakati anakuvulia chupi na kuchovya hukuliona hilo eti? kama ulikuwa humpendi ya nini kumlaghai dada wa watu? wanaume kama nyie ndo hamtakiwi katika jamii na kama ni kule uarabuni ama uchina wewe ni wakunyongwa tu.
 
huyo wa ukweli mwenyewe utakuta hajawahi hata kukuita mpenzi,,lea mimba yako huyo akupendae
kama angekuwa hakupendi asinge kubebea hiyo mimba
 
jaman ameshajinyonga huyu na msiba uko wapi?
 
Reactions: EMT
Kwa kuwa wewe ni 'strit boy' sasa unataka kutelekeza mimba ili azaliwe strit boy mwingine na miaka michache ijayo tuwe na member wa jf mwenye utambulisho wa 'strit boy jr.'......anyway kusaidia mchakato wa kujinyonga nachangia avatar yangu ka itakuwa na msaada wowote, All the best.
 
jinyonge
 
Jinyonge tu braza vicheche hatuwahitaji duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…