Wakati wewe unatengeneza friendship.Wengine wanatengeneza relationship.Msichana ukimwambia unataka urafiki tu,anatafuta wa relationship.Baadae akianza kukuambia nna mchumba angu,unaanza.U know nlikupenda,its too late.Inawezekana huyo boy ni ndugu yake,kaka yake,mchumba wake,hatuelewi which is which.ila jaribu kumuuliza.Go straight as a man,utakuta ndege kachukuliwa.u want friendship,another man kam and want relationship.As a man,u shuld be straight with wat friendship u nid to these gals.Mwishon mnawapa wakati mgumu wa kuselect,ukute ana boyfnd,na wewe kama rafiki tu.
Kuna msichana mmoja mzuri na anavutia nimetokea kumpenda,nikaanza mchakato wakumtokea.kama mnavyojua wadau huwezi kukurupuka kwenye hili nikaanza mchakato taratibu wakutengeneza friendshp na nikawin.nikaamua kupiga second step ili niweze kutamka kilichopo moyoni mwangu bt kila nilipokua naomba appointments alikua ananizungusha na wakati mwingine nilikuwa nikituma nikituma text hazijibiwi ingawa somtyms hua ananikumbukaga.kilichonifanya niandike haya ni jambo lililonikuta leo,wakati niko matembezini mida ya saa moja ucku huku mtaani kwetu gafla nikaona gari ndogo imesimama mbele yangu kama hatua 20 toka nilipo na nilipoifikia tu nikamuona yule msichana ameshushwa kwenye ile gari na nikapata bahati yakumuona aliyemshusha kua nikijana mwenzangu kama mimi sema mm sina gari kama yeye na nilipojaribu kupiga simu yake ilikua imezimwa kwa wakati huo.wadau naomba mawazo yenu.
tiririka na hii
nitakuwa sifiki nyumbani kwako,haibu iliyonipata nikubwa sana,wee solemba
kekundu,kekundu,kekundu,kekundu