Omary - Msamalia
JF-Expert Member
- Jan 19, 2020
- 2,079
- 4,521
Njoo tucheze Fifa we jamaa ukifika Makumbusho niambie nikufuate.Wadau... Nimejichanganya na Mwanamke Mweupi wa Kiarabu... Yaani nimeshaipishana nae sana. Nimemkuta sehemu ambazo ni hatari ila bado huniambii kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Au na wewe umempata khumbu.Ndio mapenzi mkuu endelea kupambana na penzi lako
Hiyo quote ni yangu mkuu au ya mleta threadAu na wewe umempata khumbu.
kama sio limbwata basi kuna kitu zaidiWadau... Nimejichanganya na Mwanamke Mweupi wa Kiarabu... Yaani nimeshaipishana nae sana. Nimemkuta sehemu ambazo ni hatari ila bado huniambii kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kwamba ungetulia ukaandika vizuri?Wadau... Nimejichanganya na Mwanamke Mweupi wa Kiarabu... Yaani nimeshaipishana nae sana. Nimemkuta sehemu ambazo ni hatari ila bado huniambii kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanangu unanifatilia...Mkuuu....yule mjamzito Vipi?...
Yule muarabu Alokua ananukia vizuri Hadi...ukampeleka getto...ndo Huyu unamzungumzia ?
Wanawake ni viumbe wa aina yake...Utakipata unachokitaka.
Muoe tu mkuuu.... Sasa utafanyaje
Hakuna mapenzi hapo ni nyege tu zinamsumbua. Kamtamani[emoji23][emoji23]Hivi Ni Nan alileta mapenzi maana watu washakufa tayar
Ushawahi kusikia mtu kasahau familia...Muoe tu mkuuu.... Sasa utafanyaje
Bado ananukia vizuri...muulize ANATUMIA perfume gani...umnunulie yule mjamzito