Ushawahi kusikia mtu kasahau familia...
Kuna mzee anaitwa Mwitore sijui. Alitoa ushuhuda.
Yaani siku nilipijichanganya kwa huyu mwanamke nilisahau kama nina mke...
Yaani hadi dada yangu ananiuliza hivi fulani ndio basi? Unaongeaga nae au?
Sent using
Jamii Forums mobile app