Komba the Great
JF-Expert Member
- Apr 25, 2016
- 340
- 654
Daaah, Baaado Safari Baado, Safari Bado. Mzazi akipoteza Maisha Inakua ni Mipango ya MunguMoja ya Changamoto wanazokutana nazo wataalamu wa afya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ushindwe kwa jina la yesu
Hapo mwanzo sjui ameongea nn dah nmecheka sanaaaa hapana aisee
Kazi kwel kwel
View attachment 2910648
Huyo ni pepo mchafu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Moja ya Changamoto wanazokutana nazo wataalamu wa afya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ushindwe kwa jina la yesu
Hapo mwanzo sjui ameongea nn dah nmecheka sanaaaa hapana aisee
Kazi kwel kwel
View attachment 2910648
πππππππππππMoja ya Changamoto wanazokutana nazo wataalamu wa afya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ushindwe kwa jina la yesu
Hapo mwanzo sjui ameongea nn dah nmecheka sanaaaa hapana aisee
Kazi kwel kwel
View attachment 2910648
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]DOKTA ni PEPO MCHAFU, na kwa vyovyote atakuwa ni Janabi tu huyo au mfuasi wake mtiifu wa chanjo rafiki yangu mbishi sana DR Mambo Jambo
Halafu tangu lini ushauri wa daktari ukatolewa kwenye simu!! Hii ni propaganda tu ya kijinga [emoji23]
Fire fire, choma huyo pepo mchafu dokta uchwara!! [emoji12][emoji2957][emoji2957][emoji1787][emoji1787]
Wanapenda kuzalisha kwa operesheni ili waongeze maokoto wakati inawezekana kabisa mwanamke kujifungua kwa njia ya kawaida.
FIRE KABISA, tena hizo faya zingeelekezwa kwa janabi ingependeza zaidi, BELZEBULI MKUU WA MAPEPO YA CHANJO.
Safi sana bado Janabi ngoja tumpigie na yeye tumpige fireeeeπ€£π€£π€£Moja ya Changamoto wanazokutana nazo wataalamu wa afya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ushindwe kwa jina la yesu
Hapo mwanzo sjui ameongea nn dah nmecheka sanaaaa hapana aisee
Kazi kwel kwel
View attachment 2910648
Niliisikia Jana nilicheka sana πππkama namuona DR Mambo Jambo π
Hawa unawapeleka ignore list tu.Niliisikia Jana nilicheka sana πππ
Dah Tanzania tunahitaji Elimu sana..
Ndo haya kila siku Kiranga anajaribu kuwaelemisha.watu wanachangany Dini mpaka sasa wanakuwa Vichaa
Jana nimecheka na kusikitika kwa wakati mmoja..Hawa unawapeleka ignore list tu.
Nchi yenye ratio ya daktari mmoja kwa kila watu 20,000 ni ujinga daktari au mtaalamu wa afya kuanza kubishana na mtu mmoja.
Unapoteza muda kubishana na mtu mmoja wakati wengine 19,999 wanakusubiri? Kweli kabisa?
Halafu, hata kama unafikiri daktari kakosea -madaktari huwa wanakosea, watu wana haki ya kufikiri daktari kakosea - si unaenda kwingine kutafuta second opinion? Ya nini kumhamakia mtu bila heshima wala tija?
ππMoja ya Changamoto wanazokutana nazo wataalamu wa afya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ushindwe kwa jina la yesu
Hapo mwanzo sjui ameongea nn dah nmecheka sanaaaa hapana aisee
Kazi kwel kwel
View attachment 2910648
There is a rational explanation though.Jana nimecheka na kusikitika kwa wakati mmoja..
Sijui Kama tutajenga Taifa kwa Dizaini ya namna hii Tanzania Dini zimetujaa kichwani mpaka tunadharau vitu vya msingi kwa kigezo cha Mungu yupo Dah
Mimi ni pepo mchafu sawaβ¦ lakiniβ¦ π€£Mimi nimeshashindwa sawaaa