Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AhahaaNaona lazima data, na online katoka😅
[emoji23][emoji23]Mtoa mada sasaView attachment 2428234
2008 tulikuwa zaidi ya afu kumi humu, acha kuleta chaiNakumbuka 2008,wakati tulipokua 100.fujo kama hizi hazikuwepo humu ndani
Kitu alichokiona ni kuwa uwezo wa kumpa hiyo hela ninaoIssue sio kwamba wewe unajionaje. Issue ni jinsi wengine wanavyokuona.
Mpaka huyo demu unayesema ni mfupi, mweusi alaf mbaya, ameweza kupata ujasili wa kuhitaji elfu 90 ili awe na wewe, kuna kitu ameona.
Kelsea[emoji1787]
HahahaMtoa mada sasaView attachment 2428234
Hahahahahahahahahaha dah!! Basi tena...Mtoa mada sasaView attachment 2428234
Hizi balehe hizi taabu kwelikweli.Kidemu kifupi cheusi kina mapengo meno ya mbele kinaniambia bila afu tisini hakiwezi toka na mimi. Wakati huo nachati na pisi kali inaniambia tu tafuta kiwanja kizuri tukaenjoy.
Hapo ndio nimegundua dunia uwanja wa fujo.
Yes, habare 👋
Weka picha tuone uhandsome wako 😎😎🤓🤓Mkuu mimi ni handsome sema tu pesa sio kiviile