Nimechoka aise. Nimeshapeleka wanawake watatu kuwatambulisha ila wote Mama kawakataa

Nimechoka aise. Nimeshapeleka wanawake watatu kuwatambulisha ila wote Mama kawakataa

didy muhenga

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2022
Posts
861
Reaction score
1,476
Wanajukwaa nina changamoto inayonisumhua ubongo wangu.

Inshort mimi ni kijana nayetaka kuoa sasa japo changamoto inakuja kwa mama yangu kwasababu nimeshapeleka wanawake watatu kuwatambulisha ila wote Mama kawakataa na isitoshe ndo mzazi pekee niliyenae. Wanawake wenyewe ni kama ifuatavyo

1. Huyu msichana alikua ni muislam ila alikua vizuri na tabia nzuri. Huyu haikuniuma sana cz hata wajomba hawakupendelea sana nioe dini nyingine japo huyu msichana alinimind sana ila ashukuriwe Mungu saivi ameolewa tayari.

2. Huyu ni msichana ambae ananijua nje ndan Inshort tulianza mapenz tangu tukiwa tunasoma na tulikua tunapendana na tulipanga kuoana tangu tulipokua tunasoma japo alipata kazi mwanza ndo ikanipa nafasi ya mimi kua na yule binti muislam lakini miaka kama minne alirudi tukaendelea na mapenz japo Mama kamkataa kisa kabila lake ni mmeru aise huyu mwanamke ni alilaani kile kitendo kwasababu naye alishawaambia nduguze Inshort ilikua tafrani.

3. Huyu ambae nimetoka kumtambulisha juzi tu yeye ni mwanasiasa na ni mwenyekiti wa chama kimoja hiv katika jimbo X huyu pia Mama kamkataa.

Huu ndo mtihan niliokua nao kwa sasa kila nikitaka kutoka kwenye Kataa ndoa nabanwa.
 
Wewe unataka Nini? Kama Baba wa familia mtarajiwa au mume mtarajiwa lazima uwe na misimamo yako. La sivo utayumbishwa mpaka uchanganyikiwe. Saa zingine mama zetu wanahitaji misimamo yetu ili wakubaliane na wewe
 
Most of narcissists mothers do fall in love with their son, Ukichunguza vizuri mama yako was never loved, she was ignored na vitu kama hivyo. (kiafrica ni taboo kumsemea haya mama/mzazi) lakini it is what it is… learn or perish 😀

Jiandae hakuna siku mahusiano yako yatakuja kuwa na amani. Kama unabisha nipo nimekaa pale…

Cha kufanya chagua unayempenda/anayekufaa, nenda nae kwenu kutoa taarifa ya kutaka kumuoa si kuomba ruhusa ya kutaka kumuoa.

Grow up.
 
hongera zako mazee dah, ila wengine tunazidi kuenjoy mema ya nchii...nipo gesti moja apa jijini najiadaa kumpelekea motoo uyu totoz...mwenzenu mwana jf nitawawakilisha vyema kwenye hii mechiii...nimeshameza azuma
FB_IMG_1729275383698.jpg
 
Most of narcissists mothers do fall in love with their son, Ukichunguza vizuri mama yako was never loved, she was ignored na vitu kama hivyo. (kiafrica ni taboo kumsemea haya mama/mzazi) lakini it is what it is… learn or perish 😀

Jiandae hakuna siku mahusiano yako yatakuja kuwa na amani. Kama unabisha nipo nimekaa pale…

Cha kufanya chagua unayempenda/anayekufaa, nenda nae kwenu kutoa taarifa ya kutaka kumuoa si kuomba ruhusa ya kutaka kumuoa.

Grow up.
She was really loved by dad
 
Wanajukwaa nina changamoto inayonisumhua ubongo wangu.
Inshort mimi ni kjna nayetaka kuoa sasa japo changamoto inakuja kwa mama yangu kwasababu nimeshapeleka wanawake watatu kuwatambulisha ila wote Mama kawakataa na isitoshe ndo mzazi pekee niliyenae. Wanawake wenyewe ni kma ifuatqvyo

1. Huyu msichana alikua ni muislam ila alikua vzr na tabia nzuri. Huyu haikuniuma sana cz hta wajomba hawakupendelea sana nioe dini nyingine japo huyu msichana alinimind sana ila ashukuriwe Mungu saiv ameolewa tayari.

2. Huyu ni msichana ambae ananijua nje ndan Inshort tulianza mapenz tang tukiwa tunasoma na tulikua tunapendana na tulipanga kuoana tang tulipokua tunasoma japo alipata kaz mwanza ndo ikanipa nafas ya mm kua na yule muislam lkn miaka kma minne alirud tukaendelea na mapenz japo Mama kamkataa kisa kabila lake ni mmeru aise huyu mwanamke ni alilaani kile kitendo kwasababu naye alishawaambia nduguze Inshort ilikua tafrani.

3. Huyu ambae nimetoka kumtambulisha juzi tu yeye ni mwanasiasa na ni mwenyekiti wa chama kimoja hiv ktk jimbo X huyu pia Mama kamkataa.

Huu ndo mtihan niliokua nao kwa sasa kila nikitak kutoka kwenye Kataa ndoa nabanwa.
Jitahidi sana,
ukienda tena next time kumtambulisha mchumba mwingine kwa Bimkubwa, make sure unampelekea na walau wajukuu wawili ambao tayari umezaa na huyo unaenda kumtambulisha, kwa style hiyo hawezi kuchomoa tena 🐒.
 
Wanajukwaa nina changamoto inayonisumhua ubongo wangu.
Inshort mimi ni kjna nayetaka kuoa sasa japo changamoto inakuja kwa mama yangu kwasababu nimeshapeleka wanawake watatu kuwatambulisha ila wote Mama kawakataa na isitoshe ndo mzazi pekee niliyenae. Wanawake wenyewe ni kma ifuatqvyo

1. Huyu msichana alikua ni muislam ila alikua vzr na tabia nzuri. Huyu haikuniuma sana cz hta wajomba hawakupendelea sana nioe dini nyingine japo huyu msichana alinimind sana ila ashukuriwe Mungu saiv ameolewa tayari.

2. Huyu ni msichana ambae ananijua nje ndan Inshort tulianza mapenz tang tukiwa tunasoma na tulikua tunapendana na tulipanga kuoana tang tulipokua tunasoma japo alipata kaz mwanza ndo ikanipa nafas ya mm kua na yule muislam lkn miaka kma minne alirud tukaendelea na mapenz japo Mama kamkataa kisa kabila lake ni mmeru aise huyu mwanamke ni alilaani kile kitendo kwasababu naye alishawaambia nduguze Inshort ilikua tafrani.

3. Huyu ambae nimetoka kumtambulisha juzi tu yeye ni mwanasiasa na ni mwenyekiti wa chama kimoja hiv ktk jimbo X huyu pia Mama kamkataa.

Huu ndo mtihan niliokua nao kwa sasa kila nikitak kutoka kwenye Kataa ndoa nabanwa.
Ulilelewa na mama peke yake? Hapa kuna mawili, aidha mama ana matatizo au chaguzi zako kweli zina walakini
 
Most of narcissists mothers do fall in love with their son, Ukichunguza vizuri mama yako was never loved, she was ignored na vitu kama hivyo. (kiafrica ni taboo kumsemea haya mama/mzazi) lakini it is what it is… learn or perish 😀

Jiandae hakuna siku mahusiano yako yatakuja kuwa na amani. Kama unabisha nipo nimekaa pale…

Cha kufanya chagua unayempenda/anayekufaa, nenda nae kwenu kutoa taarifa ya kutaka kumuoa si kuomba ruhusa ya kutaka kumuoa.

Grow up.
Asante! Mama anategemea uchukue nafasi ya mume wake kimajukumu/emotionally. Hapa usiombe ndugu mdau awe amelelewa na mzazi moja attachment issues ni kubwa zaidi kwao
 
Wanajukwaa nina changamoto inayonisumhua ubongo wangu.
Inshort mimi ni kjna nayetaka kuoa sasa japo changamoto inakuja kwa mama yangu kwasababu nimeshapeleka wanawake watatu kuwatambulisha ila wote Mama kawakataa na isitoshe ndo mzazi pekee niliyenae. Wanawake wenyewe ni kma ifuatqvyo

1. Huyu msichana alikua ni muislam ila alikua vzr na tabia nzuri. Huyu haikuniuma sana cz hta wajomba hawakupendelea sana nioe dini nyingine japo huyu msichana alinimind sana ila ashukuriwe Mungu saiv ameolewa tayari.

2. Huyu ni msichana ambae ananijua nje ndan Inshort tulianza mapenz tang tukiwa tunasoma na tulikua tunapendana na tulipanga kuoana tang tulipokua tunasoma japo alipata kaz mwanza ndo ikanipa nafas ya mm kua na yule muislam lkn miaka kma minne alirud tukaendelea na mapenz japo Mama kamkataa kisa kabila lake ni mmeru aise huyu mwanamke ni alilaani kile kitendo kwasababu naye alishawaambia nduguze Inshort ilikua tafrani.

3. Huyu ambae nimetoka kumtambulisha juzi tu yeye ni mwanasiasa na ni mwenyekiti wa chama kimoja hiv ktk jimbo X huyu pia Mama kamkataa.

Huu ndo mtihan niliokua nao kwa sasa kila nikitak kutoka kwenye Kataa ndoa nabanwa.
Kutoka kwenye kataa ndoa ni uamuzi utakao ujutia maisha yako yote
 
Wanajukwaa nina changamoto inayonisumhua ubongo wangu.
Inshort mimi ni kjna nayetaka kuoa sasa japo changamoto inakuja kwa mama yangu kwasababu nimeshapeleka wanawake watatu kuwatambulisha ila wote Mama kawakataa na isitoshe ndo mzazi pekee niliyenae. Wanawake wenyewe ni kma ifuatqvyo

1. Huyu msichana alikua ni muislam ila alikua vzr na tabia nzuri. Huyu haikuniuma sana cz hta wajomba hawakupendelea sana nioe dini nyingine japo huyu msichana alinimind sana ila ashukuriwe Mungu saiv ameolewa tayari.

2. Huyu ni msichana ambae ananijua nje ndan Inshort tulianza mapenz tang tukiwa tunasoma na tulikua tunapendana na tulipanga kuoana tang tulipokua tunasoma japo alipata kaz mwanza ndo ikanipa nafas ya mm kua na yule muislam lkn miaka kma minne alirud tukaendelea na mapenz japo Mama kamkataa kisa kabila lake ni mmeru aise huyu mwanamke ni alilaani kile kitendo kwasababu naye alishawaambia nduguze Inshort ilikua tafrani.

3. Huyu ambae nimetoka kumtambulisha juzi tu yeye ni mwanasiasa na ni mwenyekiti wa chama kimoja hiv ktk jimbo X huyu pia Mama kamkataa.

Huu ndo mtihan niliokua nao kwa sasa kila nikitak kutoka kwenye Kataa ndoa nabanwa.
Msikilize mama kuna pisi kakuandalia kutoka nyumban miguu ina magaga ina adabu balaa inasalimia had kuku na her favorite food ugal mlenda option dagaaa
 
Mkuu mama yako hana tatizo ila tatizo lipo kwako .

Jaribu kuwa matured enough na kujua aina gani ya mwanamke anafaa kuendana na wewe.

Sifikirii Kama mama yako hataki uoe Ila Anataka uoe the right person.


Msikilize Sana mama yako na umuulize akushauri ni aina gani ya mwanamke anahisi ataendana na wewe.
 
Wanajukwaa nina changamoto inayonisumhua ubongo wangu.
Inshort mimi ni kjna nayetaka kuoa sasa japo changamoto inakuja kwa mama yangu kwasababu nimeshapeleka wanawake watatu kuwatambulisha ila wote Mama kawakataa na isitoshe ndo mzazi pekee niliyenae. Wanawake wenyewe ni kma ifuatqvyo

1. Huyu msichana alikua ni muislam ila alikua vzr na tabia nzuri. Huyu haikuniuma sana cz hta wajomba hawakupendelea sana nioe dini nyingine japo huyu msichana alinimind sana ila ashukuriwe Mungu saiv ameolewa tayari.

2. Huyu ni msichana ambae ananijua nje ndan Inshort tulianza mapenz tang tukiwa tunasoma na tulikua tunapendana na tulipanga kuoana tang tulipokua tunasoma japo alipata kaz mwanza ndo ikanipa nafas ya mm kua na yule muislam lkn miaka kma minne alirud tukaendelea na mapenz japo Mama kamkataa kisa kabila lake ni mmeru aise huyu mwanamke ni alilaani kile kitendo kwasababu naye alishawaambia nduguze Inshort ilikua tafrani.

3. Huyu ambae nimetoka kumtambulisha juzi tu yeye ni mwanasiasa na ni mwenyekiti wa chama kimoja hiv ktk jimbo X huyu pia Mama kamkataa.

Huu ndo mtihan niliokua nao kwa sasa kila nikitak kutoka kwenye Kataa ndoa nabanwa.
Wambie wakupe wanayemtaka sasa ili yakikushinda uanze kulalamika.
Kwa nini huna maamuzi?
Utawezaje kusimamia familia?
 
Wanajukwaa nina changamoto inayonisumhua ubongo wangu.
Inshort mimi ni kjna nayetaka kuoa sasa japo changamoto inakuja kwa mama yangu kwasababu nimeshapeleka wanawake watatu kuwatambulisha ila wote Mama kawakataa na isitoshe ndo mzazi pekee niliyenae. Wanawake wenyewe ni kma ifuatqvyo

1. Huyu msichana alikua ni muislam ila alikua vzr na tabia nzuri. Huyu haikuniuma sana cz hta wajomba hawakupendelea sana nioe dini nyingine japo huyu msichana alinimind sana ila ashukuriwe Mungu saiv ameolewa tayari.

2. Huyu ni msichana ambae ananijua nje ndan Inshort tulianza mapenz tang tukiwa tunasoma na tulikua tunapendana na tulipanga kuoana tang tulipokua tunasoma japo alipata kaz mwanza ndo ikanipa nafas ya mm kua na yule muislam lkn miaka kma minne alirud tukaendelea na mapenz japo Mama kamkataa kisa kabila lake ni mmeru aise huyu mwanamke ni alilaani kile kitendo kwasababu naye alishawaambia nduguze Inshort ilikua tafrani.

3. Huyu ambae nimetoka kumtambulisha juzi tu yeye ni mwanasiasa na ni mwenyekiti wa chama kimoja hiv ktk jimbo X huyu pia Mama kamkataa.

Huu ndo mtihan niliokua nao kwa sasa kila nikitak kutoka kwenye Kataa ndoa nabanwa.
mama yako mbaguzi
umeru wa dada yangu umekuaje kikwazo. mimi nilishaacha kuhukumu mtu kwa kabila. kikubwa angalia unakoenda kuoa ni ukoo hauna mabalaa na watu wa maajabu. mfano niliwahi penda mndenge lakini yale mambo yao ya tamaduni nilivyokua naona yakanivuruga nikapiga chini mtoto wa kindengereko, ila alikua mali safi.
 
hongera zako mazee dah, ila wengine tunazidi kuenjoy mema ya nchii...nipo gesti moja apa jijini najiadaa kumpelekea motoo uyu totoz...mwenzenu mwana jf nitawawakilisha vyema kwenye hii mechiii...nimeshameza azuma
View attachment 3129151
Unazingua wewe
 

Attachments

  • Screenshot_2024-10-18-23-12-19-197_com.google.android.googlequicksearchbox.jpg
    Screenshot_2024-10-18-23-12-19-197_com.google.android.googlequicksearchbox.jpg
    363.7 KB · Views: 8
  • Screenshot_2024-10-18-23-12-14-751_com.google.android.googlequicksearchbox.jpg
    Screenshot_2024-10-18-23-12-14-751_com.google.android.googlequicksearchbox.jpg
    354.5 KB · Views: 7
  • FB_IMG_1729275383698.jpg
    FB_IMG_1729275383698.jpg
    43.5 KB · Views: 5
Back
Top Bottom