tatizo la watanzania ni hatujitumi kila sekta ni mbovu...
timu za taifa huwa zinaundwa na wachezaji wanaocheza timu za club zao..
taifa starz 95 parcent ni wachezaji wanaotoka club mbovu...
hakuna beki timu ya taifa ambaye anacheza club ya kueleweka kuweza kumzuia hata mshambuliaji wa mazembe au al hally asifunge goli..
hakuna kiungo mkabaji wa kuzunguka dakika 90 anakimbizana na viungo wa esperance au es setif au enyimba...
sasa hao tu waafrica wenzetu hata kama hawachezi ulaya ila wanacheza club za kueleweka ambazo zinawaandaa kukabana na mchezaji anaecheza ligi yeyote..
timu zima ya taifa starz mchezajii ni wawili tu ambao ni samatta na ulimwengu...
huku wenzetu unakuta wachezaji wote 23 wa timu ya taifa wanacheza mpira wa level kubwa katika club zao..
huwezi kwenda mataifa africa kwa kutegemea wachezaji waliozoea kuwafunga maji maji na mtibwa