Ungekuwa hivo watu wangeshafika bei. Hamna mwanaume duniani asiyependa vitu vizuri vyenye viwango!
Muongo! vizuri mwaviogopa na mnavifanya vya kuchezea kwa hofu zenu za kutojiamini mnaogopa kuchukua jumla. LOL
Nimecheka sana aisee..sasa inakuwaje unatendwa wewe tu kilka siku kwanini na wewe hutendi? Nalog off
mwanamke mzuri si wa kuoa ni wa kugonga na kuuza naye sura tu,kwasababu ni ugonjwa wa moyo.Nalog off
Sifa zote ninazo tatizo langu moja napenda tigo je ua ok? Kama ok safi tuwasiliane.
sasa inakuwaje unatendwa wewe tu kilka siku kwanini na wewe hutendi? Nalog off
Kuna ukweli katika ulichosema. I call chicks like that trophies.
Sifa zote ninazo tatizo langu moja napenda tigo je ua ok? Kama ok safi tuwasiliane.
Thio kweli dada, na hiyo avatar yako, yaa' aldhaaaaaa!Muongo! vizuri mwaviogopa na mnavifanya vya kuchezea kwa hofu zenu za kutojiamini mnaogopa kuchukua jumla. LOL
Kata Mdhidhi wa fitnah, weka picha yako tuthaminishe.Kwanza mapenzi niliyaanza nikiwa na age ya 25 huoni kama nina miaka miwili tu kwenye mapenzi???? pia hao nimewaacha mimi baada ya wao kuwa vicheche....hawajaniacha wao
Hahahahahah lol! we unaomba Tigo hadharani banaaa lol! ππ nadhani umeshapoteza bahati yako ππ...kama ilikuwepo π
kumbe uzee dili....haya vizee vya humu changamkieni tenda
Duuuuh duniani kuna mambo na hasa JF!Mimi m ni mwanamke mwenye umri wa miaka 27 ninayejishughulisha na niko focused. Ninasikitika kusema kuwa toka niyajue mapenzi nimekuwa ni mtu wa kutendwa tu kwenye relationship na wapenzi ambao ni vijana. Nimeamua kutafuta baba mwenye umri kuanzia miaka 40-50 ambaye ni single (labda alifiwa na mke, au alipewa talaka). Awe tayari kupima HIV, dini awe mkristo, elimu ya chuo kikuu, asiwe mfupi ila mrefu wa wastani, asiwe na kitambi ila awe na mwili wa wastani, awe anayefanya mazoezi ya viungo mara kwa mara (sio lazima kila siku), awe anajishuhulisha na kazi au biashara, kwa umri huu awe ameshafanya baadhi ya investments za maisha. Atakaebahatika atapata mapenzi motomoto na ya ukweli.. Mwenye vigezo hivyo atakapopatikana dirisha la usajili litafungwa muda wowote.
Niko zaidi ya serious katika hili.