Nimechoka kudanganywa na vijana natafuta jibaba

Muongo! vizuri mwaviogopa na mnavifanya vya kuchezea kwa hofu zenu za kutojiamini mnaogopa kuchukua jumla. LOL

mwanamke mzuri si wa kuoa ni wa kugonga na kuuza naye sura tu,kwasababu ni ugonjwa wa moyo.Nalog off
 
​Duh umekaa kama unataka kuchumia kivulini hivi..............
 
We sema unataka kibabu cha watu ili ukichune tu..hzo zngne ni mbwembwe 2.
 
Sifa zote ninazo tatizo langu moja napenda tigo je ua ok? Kama ok safi tuwasiliane.

mnh ukute cameroon aliposema muwatambue mashoga uling'aka na kuwa mkali kumbe na wewe umo humo humo tu.....
 
kumbe uzee dili....haya vizee vya humu changamkieni tenda
 
Sifa zote ninazo tatizo langu moja napenda tigo je ua ok? Kama ok safi tuwasiliane.


khaaaaaa Sodoma mimi hapana jamani, narudia tena huko hapana sijafundishwa kabisa wala sitaki kujua !!!!!
 
Sifa zote ninazo tatizo langu moja napenda tigo je ua ok? Kama ok safi tuwasiliane.


Hahahahahah lol! we unaomba Tigo hadharani banaaa lol! πŸ™‚πŸ™‚ nadhani umeshapoteza bahati yako πŸ™‚πŸ™‚...kama ilikuwepo πŸ™‚

 
Kwanza mapenzi niliyaanza nikiwa na age ya 25 huoni kama nina miaka miwili tu kwenye mapenzi???? pia hao nimewaacha mimi baada ya wao kuwa vicheche....hawajaniacha wao
Kata Mdhidhi wa fitnah, weka picha yako tuthaminishe.
 
Hahahahahah lol! we unaomba Tigo hadharani banaaa lol! πŸ™‚πŸ™‚ nadhani umeshapoteza bahati yako πŸ™‚πŸ™‚...kama ilikuwepo πŸ™‚


Ninashukuru umenisaidia, yani anaomba sodoma hadharani?? ashindwe, anitue mimi kunibebesha mzigo sijawahi beba na anipishe mie
 
kumbe uzee dili....haya vizee vya humu changamkieni tenda

dah! huu uzi ndio umenimalizaaa. yaani 40 - 50 wanaitwa "vibabu/vizee"!
sasa sisi tuliovuka hapo si ndio tutaitwa "vimauti"! dah!
 
Duuuuh duniani kuna mambo na hasa JF!
 
Endelea tu unachokitafuta umekaribia kukipata! Na usije kulalamika humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…