Mad Jaluo
Member
- Jun 19, 2019
- 89
- 159
8 November 2022Mwaka kesho utacheza bahati nasibu ya kwenda kuishi USA. Mwaka huu deadline ilikuwa 8/10/2022.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
8 November 2022Mwaka kesho utacheza bahati nasibu ya kwenda kuishi USA. Mwaka huu deadline ilikuwa 8/10/2022.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kama unapenda kulelewa njoo upakuliwe.Vipi kwa huyo mumeo nafasi bado zipo?
Mwaka kesho utacheza bahati nasibu ya kwenda kuishi USA. Mwaka huu deadline ilikuwa 8/10/2022.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huko kulelewa mimi sijaongelea,wewe unawaza upuuzi tu,kwani mtu akienda nchi ya nje kusaka fursa ni vibaya? Mbona vijana wa nchi nyingine wanatoka nchi zao wanaenda kusaka fursa nchi mbalimbali.Tatizo vijana wa kibongo ni waoga wa maisha,mnaogopa kujaribu ili mkikwama mrudi kwenu.Tatizo hapo ni uogaKama unapenda kulelewa njoo upakuliwe.
Huko kulelewa mimi sijaongelea,wewe unawaza upuuzi tu,kwani mtu akienda nchi ya nje kusaka fursa ni vibaya? Mbona vijana wa nchi nyingine wanatoka nchi zao wanaenda kusaka fursa nchi mbalimbali.Tatizo vijana wa kibongo ni waoga wa maisha,mnaogopa kujaribu ili mkikwama mrudi kwenu.Tatizo hapo ni uoga
Kama unafanya kazi basi na una mshahara watumie hawa jamaa ... wakupe studnt loan uende kama mwanafunzi Student Loans For International Students - MPOWER FinancingHabarini za humu wanajamii, humu JF kuna watu mbalimbali wengine wanakaa Buza huko kwa mpalange, wengine Masaki na Osterbay, wengine Mwananyamala kwa kopa huko ila wengine wapo mamtooni huko pande za akina Biden.
Sasa wale wa kwa biden na ulaya huko ndo naomba ramani za kwend kuzama huko. Je nitasurvive?
Umri wangu miaka 27 sijaoa wala sina familia ,nina degree ya engineering,kwa sasa ninafanya kazi na mshahara mzuri tu ila ndo hivyo nataka niende huko nikaweke makazi