Nimechoka kuishi Bongo, nataka niende mamtoni

Nimechoka kuishi Bongo, nataka niende mamtoni

Mwaka kesho utacheza bahati nasibu ya kwenda kuishi USA. Mwaka huu deadline ilikuwa 8/10/2022.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app


Deadline ni Nov 8th.

DV-2024 Program: The online registration period for the DV-2024 Program begins on Wednesday, October 5, 2022, at 12:00 noon, Eastern Daylight Time (EDT) (GMT-4) and concludes on Tuesday, November 8, 2022, at 12:00 noon, Eastern Standard Time (EST) (GMT-5).  Submission of more than one entry for a person will disqualify all entries for that person.
 
Kama unapenda kulelewa njoo upakuliwe.
Huko kulelewa mimi sijaongelea,wewe unawaza upuuzi tu,kwani mtu akienda nchi ya nje kusaka fursa ni vibaya? Mbona vijana wa nchi nyingine wanatoka nchi zao wanaenda kusaka fursa nchi mbalimbali.Tatizo vijana wa kibongo ni waoga wa maisha,mnaogopa kujaribu ili mkikwama mrudi kwenu.Tatizo hapo ni uoga
 
Mm nimezidi umri wa kustaafu utumishi wa umma kwa hiyo sio kijana na kama huko nje ya nchi tulikwenda holidays.
Huko kulelewa mimi sijaongelea,wewe unawaza upuuzi tu,kwani mtu akienda nchi ya nje kusaka fursa ni vibaya? Mbona vijana wa nchi nyingine wanatoka nchi zao wanaenda kusaka fursa nchi mbalimbali.Tatizo vijana wa kibongo ni waoga wa maisha,mnaogopa kujaribu ili mkikwama mrudi kwenu.Tatizo hapo ni uoga
 
Habarini za humu wanajamii, humu JF kuna watu mbalimbali wengine wanakaa Buza huko kwa mpalange, wengine Masaki na Osterbay, wengine Mwananyamala kwa kopa huko ila wengine wapo mamtooni huko pande za akina Biden.

Sasa wale wa kwa biden na ulaya huko ndo naomba ramani za kwend kuzama huko. Je nitasurvive?

Umri wangu miaka 27 sijaoa wala sina familia ,nina degree ya engineering,kwa sasa ninafanya kazi na mshahara mzuri tu ila ndo hivyo nataka niende huko nikaweke makazi
Kama unafanya kazi basi na una mshahara watumie hawa jamaa ... wakupe studnt loan uende kama mwanafunzi Student Loans For International Students - MPOWER Financing

Ndani ya hiyo miaka miwili hakikisha unapata greencard, kwa njia yeyote ile
 
apply vyuo uende kama mwanafunzi wa masters .
Ukifika huko unasoma huku unafanya mishe nyingine kwa sasa application nyingi zipo open kwa admission za mwaka kesho
 
Back
Top Bottom