Watchword
New Member
- Apr 10, 2020
- 2
- 0
Tunaishi kwenye nyakati za sayansi na technologia inayo rahisisha maisha kwenye nyanja zote zikiwepo kiuchumi na kijamii. Nina imani kupitia technologia ya mawasiliano naweza kupata mke mzuri, mke mwema.
Kwa heshima kubwa natafuta mke wa kuoa, umri kuanzia miaka 30 na kuendelea, sichagui elimu wala kazi ila akiwa mwalimu itapendeza zaidi. Dini yoyote na kabila lolote ila ni ndoto zangu kuja kuishi na kabila za wenyeji wa Mbeya, Iringa, Ruvuma, Dodoma na Tanga.
Kwa wenye nia tafadhari tuwasiliane pm (Private message). Maswali mengi nitajibu huko.
Asante
Kwa heshima kubwa natafuta mke wa kuoa, umri kuanzia miaka 30 na kuendelea, sichagui elimu wala kazi ila akiwa mwalimu itapendeza zaidi. Dini yoyote na kabila lolote ila ni ndoto zangu kuja kuishi na kabila za wenyeji wa Mbeya, Iringa, Ruvuma, Dodoma na Tanga.
Kwa wenye nia tafadhari tuwasiliane pm (Private message). Maswali mengi nitajibu huko.
Asante