Nimechoka kumsubiri, nahitaji kuolewa

Nimechoka kumsubiri, nahitaji kuolewa

mm ni Binti wa miaka 26.Nina mchumba tuliwekeana ahadi tutaoana. ila naona mda unaeenda na yy ukimuuliza hajajipanga kimaisha nimechoma kumsubiri. natafuta mume wa kunioa.
.angalau awe na Miaka 27-37.sijaweka number kwa sababu maalumu. ukihitaji NM tutawasiliana.naishi dar
Dada hio kauli yako ya kubadili dini ondoa katika akili yako,uislam ipo straight na ukitoka katika uislam never come back, hio ndio sharia, tatizo ulilo nalo ni kwamba umeshindwa kujiamini, umeshindwa kumuamini alie kuumba, kiasi ambacho umekata tamaa, waislamu hatutakiwi kukata tamaa ever, na muislamu hasa mwanamke hatakiwi kuolewa na christo or yahudi, kwa sababu unapo olewa mamlaka yako yote anachukua mume.

Mwanamme wa kislamu anaweza kumuowa yahudi, kwa sababu mwanamme ndio huchukua mamlaka ya mke, hivyo the end of the day mwanamke atamfuata mume.

Mungu achezewi, na dini haiplay ipo straight, if you gonna convert and you will never come back and the hell will be your home forever, Allah subhana Wataala akuongoe na akusamehe.

I suggest you leave that boy, and asking Allah forgiveness, wake up middle night and praying, I believe you will get answer that you're looking for, muombe akupe wa kheri and kwepa zinaa. In sha Allah kheri juu yako.
 
Dada @brenda18, hebu nisemezee neno jema kwa mwenzio huyu nami mwakani niweke chombo ndani...!
Haha kaka hiki chombo tukikiweka ndani kitatusumbua sana kwa uongo,ila ntajitahidi hesabia umeshampata ngoja nikamwage sifa zako kule pm
 
Haha kaka hiki chombo tukikiweka ndani kitatusumbua sana kwa uongo,ila ntajitahidi hesabia umeshampata ngoja nikamwage sifa zako kule pm

Ewaaaa....hapo umenena vyema!!!! Hivi dunia ya sasa kuna asiye mwongo ukitoa mimi na wewe???
 
Mimi ni binti wa miaka 26.Nina mchumba tuliwekeana ahadi tutaoana, ila naona mda unaeenda na yeye ukimuuliza hajajipanga kimaisha.

Nimechoma kumsubiri natafuta mume wa kunioa.
angalau awe na Miaka 27-37.

Sijaweka number kwa sababu maalumu, ukihitaji namba tutawasiliana, naishi Dar.

Ubarikiwe lakini si ungemsubiri tu?
 
Huyu mtu anabadilika badilika duh mara 22,mara 23 mara 26 umri wake kama wa miss Tanzania
 
Asa kama hajajipanga unataka akuchukue ivyo ivyo? halaf akikuweka ndan uanze kuchepuka kwa ajili ya ugum wa maisha! kama unampenda kwel mvumilie
 
We mwenyewe muongo na mnafiki lazima uchezewe tu. Maandiko yanasema utampata wa kufanana nawe.

Kwanza tuambie umri wako sahihi, humu una miaka 23, born 1992.

Hapa https://www.jamiiforums.com/index.php?threads//
Una miaka 22

Kwenye thread una miaka 26,
Tell us how old are you, tell us ur real age. I might be your next husband( kwa sasa unandoa isiyo rasmi)
 
Mods rudisheni comment yangu, or otherwise mniambie kosa la hiyo comment. Kumchapa mtoto viboko bila kumwambia kosa lake si busara kesho anaweza kurudia tena itakuaje? Atleast mngekuwa mna pm mtu ajue kosa lake ili asirudie.

Mods mmekua wa hovyo sana siku hizi humu jamvini.
 
Miaka 26 tu umechoka je ukifikisha 38 kama mimi si ndo utajiua kabisa! Anyway best wishes my dear!
 
Naomba nikupokee ila mimi mkibosho mkali sana mambo yakuja kumuonjesha tena ass itakuwa kisu na panga nitafute,panda magari yanayotokea Kawe au moroko kwenda Kawe,shuka kwa Mikocheni b,then pale kuna bodaboda waambie wakulete karibu kbsa na mkono mh.ukifika hapo mageti yetu yanafanana,mwambie Wa Boda Boda apige honi sita za taratibu zinazopishana kwa sekunde 30,ntatoka karibu sana,umepata mume
 
Back
Top Bottom