Nimechoka kupigwa Exile, maisha ya hostel yamenishinda

Nimechoka kupigwa Exile, maisha ya hostel yamenishinda

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Haya maisha ya kukaa hostel yamenishinda kwa kweli ,haiwezekani haipiti siku tatu bila kupigwa exile
Kila siku mimi nimekuwa mtu wa kulala nje na kuliwa na mbu tu nimechoka kwa kweli enough is enough

Sijui lini na mimi nitamfanyia exile aaaargh nimechukia sana
 
Haya maisha ya kukaa hostel yamenishinda kwa kweli ,haiwezekani haipiti siku tatu bila kupigwa exile
Kila siku mimi nimekuwa mtu wa kulala nje na kuliwa na mbu tu nimechoka kwa kweli enough is enough

Sijui lini na mimi nitamfanyia exile aaaargh nimechukia sana
Upo chuo gan mkuu?
 
Tumia pesa hiyo upige mambo ,wote mtakatwa sawa tu.
 
Msalimie shunie
Haya maisha ya kukaa hostel yamenishinda kwa kweli ,haiwezekani haipiti siku tatu bila kupigwa exile
Kila siku mimi nimekuwa mtu wa kulala nje na kuliwa na mbu tu nimechoka kwa kweli enough is enough

Sijui lini na mimi nitamfanyia exile aaaargh nimechukia sana
 
Back
Top Bottom