Nimechoka kupigwa Exile, maisha ya hostel yamenishinda

Nimechoka kupigwa Exile, maisha ya hostel yamenishinda

Atakuwa Ruco Iringa.
Hawa wajamaa wa Hosteli za Nkembo, KatiKaza na Kamuzora wanapigana sana exile.

Mimi nakumbuka mdada anakuja mchana anapigwa mashine mpaka jioni huku washkaji inabidi wakae pale nje kontena kwa dada Agi wakizuga na maji ya kilimanjaro
 
Shunista mbona umebadilika sana siku hizi?

Rudisha kumbukumbu zako nyuma yale mazuri yote tuluyoyafanya na ahadi kedekede tulizowekeana
nimeacha kumuombea yule nakuombea wewe shunie akuelewe
 
nimeacha kumuombea yule nakuombea wewe shunie akuelewe
fanya hivyo mkuu

Shunie amesahau yale mazuri yote tuliyofanya


Alikuwa ananisifia show zangu kuwa nzuri katika 6*6


Sijui siku hizi kapatwa na nini
 
Ishi vizur na wenzako, haiwezekani hostel nzima ikawa ni exile kila chumba.
 
Haya maisha ya kukaa hostel yamenishinda kwa kweli ,haiwezekani haipiti siku tatu bila kupigwa exile
Kila siku mimi nimekuwa mtu wa kulala nje na kuliwa na mbu tu nimechoka kwa kweli enough is enough

Sijui lini na mimi nitamfanyia exile aaaargh nimechukia sana
Nipo njiani nakuja na Shemeji yako nisaidie kusafisha safisha ghetto mwanangu Shem wako asije akamaind! [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
 
Back
Top Bottom