Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utaelewa tu taratibudah kati ya jamaaambae simuelew humu jamii forom ni huyu yaan sijui kwamba anasoma sijui hasomi yaan ilimradi a post..sasa angalia avatar yake.
Shunista mbona umebadilika sana siku hizi?Unikomeeee sio mkeo mm wala haunijui
nimeacha kumuombea yule nakuombea wewe shunie akueleweShunista mbona umebadilika sana siku hizi?
Rudisha kumbukumbu zako nyuma yale mazuri yote tuluyoyafanya na ahadi kedekede tulizowekeana
fanya hivyo mkuunimeacha kumuombea yule nakuombea wewe shunie akuelewe
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Aiseeeeeee
Bora nishuhudie showSasa bora kupigwa exile au kushuhudia show
mapenzi tu haya shunie
Ndio shunie poozo la moyo wangu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sawa mama watoto
Ha ha ha ha ha ha ha ha ,kwa nini mkuu?Daaah, ninacheka sana kila nikiangalia hii post.
Yani wewe mwana umepinda kinoma.
Amefanyaje?King majuto
Nipo njiani nakuja na Shemeji yako nisaidie kusafisha safisha ghetto mwanangu Shem wako asije akamaind! [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]Haya maisha ya kukaa hostel yamenishinda kwa kweli ,haiwezekani haipiti siku tatu bila kupigwa exile
Kila siku mimi nimekuwa mtu wa kulala nje na kuliwa na mbu tu nimechoka kwa kweli enough is enough
Sijui lini na mimi nitamfanyia exile aaaargh nimechukia sana
DahNipo njiani nakuja na Shemeji yako nisaidie kusafisha safisha ghetto mwanangu Shem wako asije akamaind! [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
Ha ha ha ha ha ha ha ha ,kwa nini mkuu?