Nimechoka kupigwa Exile, maisha ya hostel yamenishinda

Nimechoka kupigwa Exile, maisha ya hostel yamenishinda

Haya maisha ya kukaa hostel yamenishinda kwa kweli ,haiwezekani haipiti siku tatu bila kupigwa exile
Kila siku mimi nimekuwa mtu wa kulala nje na kuliwa na mbu tu nimechoka kwa kweli enough is enough

Sijui lini na mimi nitamfanyia exile aaaargh nimechukia sana
Daaaa......!!! Umenikumbusha mbali sana chuo fulani Dodoma. Nilikuwa napigwa exile balaa. Adi ikabidi nipange chumba mitaani
 
Exile ni km msitu mambwepande weng hupgwa sana wakipelekwa huko.
 
ni utoto tu unamsumbua akikua ataacha
Mapenzi unayonipa


Yan mpaka najiuliza

Hivi unaigiza aaa a

Maana mi nakufa kabisa aa aa aa

Napenda nikushika we

Napenda nikikushika aa

Napenda nikikukiss mdomoni

Ur my baby gal


Uzuri uzuri wako.

Uzuri uzuri wako wewe

[emoji445] [emoji445] [emoji442] [emoji443] [emoji443] [emoji442] [emoji442] [emoji443]
 
Exile huwa haziepukiki kwenye maisha ya shule.
Nakumbuka nikiwa Mabibo Hostel nilipigwa sana Exile na wadau though ndio ilinifanya niwe napiga sana Msuli Chuo mpaka saa 6 usiku hivi ndio narudi hostel,yaani ilikuwa unatumiwa kabisa sms kuwa leo kuna tukio kiongozi😀😀😀
Unapga msul chuo mpaka saa sita ya uck then unarud mabibo.. HAPO UMETUFUNGA KAMBA MKUU
 
Mwambie met wako awe anakulipa jero yako kwa kila exile anavofanya sio poa kabisa. Me nilikuwa si entertain usport sport wa aina hyo enzi zangu
 
Mkuu tatizo kila siku ni mimi tu napigwa exilé
Jipange sasa exile huwa inatakiwa iwe win win situation ndy mtaheshiana bila hivyo utagombana sana na mate,
Chuoni kukwepa exile Uwe unaishi peke yako au kwenu kinyume na hapo lazima ukumbane nayo sijui kwa girls ila boys exile is constant.
 
Unapga msul chuo mpaka saa sita ya uck then unarud mabibo.. HAPO UMETUFUNGA KAMBA MKUU
Unapiga shuttle pori kutoka Coet hadi chuo cha maji mpaka barabarani(Sam Nujoma road)-hapo unatembea hadi ubungo mataa parking za Tanesco hapo kwenye mitambo ya symbion.Hapo kijana kuna daladala 24/7 za kwenda buguruni then huyo hadi Hostel.
Ndugu yangu usione tumepata vigamba vyetu tumehustle Kinoma😛😛
 
Back
Top Bottom