Nimechoka kupigwa Exile, maisha ya hostel yamenishinda

Nimechoka kupigwa Exile, maisha ya hostel yamenishinda

Haya maisha ya kukaa hostel yamenishinda kwa kweli ,haiwezekani haipiti siku tatu bila kupigwa exile
Kila siku mimi nimekuwa mtu wa kulala nje na kuliwa na mbu tu nimechoka kwa kweli enough is enough

Sijui lini na mimi nitamfanyia exile aaaargh nimechukia sana

Elezea vizuri ueleweke hili sio jukwaa la wanafunzi wanaosoma hicho chuo unachosoma ww
Pole ndio maisha ya hapo yako hivyo
 
Haya maisha ya kukaa hostel yamenishinda kwa kweli ,haiwezekani haipiti siku tatu bila kupigwa exile
Kila siku mimi nimekuwa mtu wa kulala nje na kuliwa na mbu tu nimechoka kwa kweli enough is enough

Sijui lini na mimi nitamfanyia exile aaaargh nimechukia sana
Ukiendekeza masela ndo faida take
Na badoo
 
maisha ya kibabe sana hayo yan ilikua nikipigwa exile ntatafuta dem wiki hio mpka nilipize
yamenifanya nikawa kidume

Post sent using JamiiForums mobile app
 
maisha ya kibabe sana hayo yan ilikua nikipigwa exile ntatafuta dem wiki hio mpka nilipize
yamenifanya nikawa kidume

Post sent using JamiiForums mobile app
ina maana vingine ni ungekua kijike
 
Haya maisha ya kukaa hostel yamenishinda kwa kweli ,haiwezekani haipiti siku tatu bila kupigwa exile
Kila siku mimi nimekuwa mtu wa kulala nje na kuliwa na mbu tu nimechoka kwa kweli enough is enough

Sijui lini na mimi nitamfanyia exile aaaargh nimechukia sana
Pole na wewe acha uvivu kjana mvulana mwenzangu , kama ukianza kucheza kwa makini na maisha ni haya haya ya ujana ukiishi ujana ili hali umezeeka haipendez

Sent from my itel it1556 Plus using JamiiForums mobile app
 
Ww imekuaje na avatar yangu
Shunie. Mh!
Nilikula Ban
Unanikumbuka?
Anyway!
Sijaja kuharibu
Nazitaka mbivu hizo
Semesters is loading muzumbe unvrsty four days later missuuuuuu[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8]

acha uongo
 
Sasa kama umechoka si uame mzee baba, au hilo nalo adi waziri wa mambo ya ndani aje akwambie?

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Wapige na ww[emoji16][emoji16][emoji16]

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Moja kati ya ungese niliowahi kukataa ni kupigwa exile...!nishamgegeda demu wa mshakaj kwa ungese wake wa kumletaleta room demu wake
hongera sana, wazazi wangejua huu ujinga wa chuo sijui kama wangevumilia, demu anagegedwa kitandani na upande wa pili kuna mtu kalala
 
Haya maisha ya kukaa hostel yamenishinda kwa kweli ,haiwezekani haipiti siku tatu bila kupigwa exile
Kila siku mimi nimekuwa mtu wa kulala nje na kuliwa na mbu tu nimechoka kwa kweli enough is enough

Sijui lini na mimi nitamfanyia exile aaaargh nimechukia sana

Warekodi utut- dm clip tusambaze, hawatarudia tena
 
Ndo raha ya chuo..kupigwa exile,kubebana,kula rb boom lilikata,sherehe zisizo na mwisho boom likiingia.
 
Write your reply... Hahahahaahahah kuna new freshers wananiulizia wapi malaya wananunuliwa , ili na wao wakapoze maisha ya nyeto ya advance , wakuu vp niwaambie nini ?

Ilhali wanasubiri support za kimwili na kielimu , ahahahahahahah
 
Write your reply... Hahahahaahahah kuna new freshers wananiulizia wapi malaya wananunuliwa , ili na wao wakapoze maisha ya nyeto ya advance , wakuu vp niwaambie nini ?

Ilhali wanasubiri support za kimwili na kielimu , ahahahahahahah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom