Acha uchoyo..... Yaani Baba wa familia unawaza Mambo ya ukoko wa pilau... Shame on You.Hellow Africa
Dah ninaishi na wife huu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauki hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu huwezi kuweka akiba yako.
Juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo Jumapili huwa tuna kawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumbani.
Moyo uko onfire sioNaiomba niwekee saivi na moyo wangu utapoa
Sis hatuna ubaguz na maisha tupo juuEeeeh kina Ngosha
Sis hatuna ubaguz na maisha tupo juu
Si ndio 😂Moyo uko onfire sio
Asili yetu sio hivo na hatuwez acha Sisi tunakaa na mtu yeyote kikubwa awe mwaminifu TU na utalelewa vizr ni tofaut na wachagga uchoyo na gubu la kijingaKumbe kakaangu ww ni msukumaa, hapo nimeelewa ila punguzeni kidogo daah! Mnaumiza makabila mengine undugulization unazidi jamani...mtuhurumiee
AbebeAbee mkuu
Nipe pole basi.Abebe
Pole yanini?Nipe pole basi.
Sawa ntakutumiaSi ndio 😂
na wakija kupumzika hawaondoki tena.Akitoka huyo watakuja baba mkwe na mama mkwe kupumzika....baada ya hapo mashemeji.... Watakula unacho kula.
NasubiriaSawa ntakutumia
Tulia kidogo nifukue makaburiNasubiria
Kweli aiseeeSis hatuna ubaguz na maisha tupo juu
nimejikuta nina avatar ambayo iko kwa ID nyingine, imenilazimu maana ilikuwa hata mwenyewe inanichanganya.Hii ID inaongoza kwa kubadili Avatar
Mi nawafatilia watu wote humu JFnimejikuta nina avatar ambayo iko kwa ID nyingine, imenilazimu maana ilikuwa hata mwenyewe inanichanganya.
Lakini kwanini unanifatilia mpk umeyajua hayo yote [emoji23][emoji23]
Hongera.Mi nawafatilia watu wote humu JF