Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Duhh! Wahenga tupo wengi humu [emoji23][emoji1787]Me too ningeacha shule nikiwa darasa la 6, huyo angekua mtoto wangu wa 2
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duhh! Wahenga tupo wengi humu [emoji23][emoji1787]Me too ningeacha shule nikiwa darasa la 6, huyo angekua mtoto wangu wa 2
Wafundishe maisha hao vijana bana, wasiparamie mambo yaliyo juu ya uwezo waoShukrani sana nimekwepa mishale mingi sana hao kina mshamba_hachekwi ni wanangu kabisa
😂😂 mimi na wewe hatupishani sana kwa jinsi nilivyoona ule mguu wako mzuri
Tumejaa mno🤣
Nilishawaambia mambo ya mashangazi waache kwan shangazi zao wanawatosha ila naona hawaelewi 😅Wafundishe maisha hao vijana bana, wasiparamie mambo yaliyo juu ya uwezo wao
Kumbe umezaliwa utawala wa Mkapa unaishia? 😅😅mi mwenyewe wa 2004 ila siwezi kulisha watu matango-pori kiasi hiki 😂
Kwani mashangazi tuna shida gani, ushaanza kuboa sasa😂Nilishawaambia mambo ya mashangazi waache kwan shangazi zao wanawatosha ila naona hawaelewi 😅
Acha basi 😅😅😅Me too ningeacha shule nikiwa darasa la 6, huyo angekua mtoto wangu wa 2
🤣😂 huyo ni maisha bora kwa kila mtzKumbe umezaliwa utawala wa Mkapa unaishia? 😅😅
Mkuu hebu kuwa na adabu kidogo, usiwaongelee tena 😅😅Nilishawaambia mambo ya mashangazi waache kwan shangazi zao wanawatosha ila naona hawaelewi 😅
Mashangazi ni kwa ajili yetu sisi sio wao.Kwani mashangazi tuna shida gani, ushaanza kuboa sasa😂
kwa staili hii nitaopoa pisi kweli hapa jf?? 😂Wafundishe maisha hao vijana bana, wasiparamie mambo yaliyo juu ya uwezo wao
Kwanini mkuuMkuu hebu kuwa na adabu kidogo, usiwaongelee tena 😅😅
Usimsikilize huyo, hana nia nzuri na mood yako 😅Kwani mashangazi tuna shida gani, ushaanza kuboa sasa😂
Aki tena, yaani tena hapo ningepiga Ile voda fasta angekua mtoto wangu wa 3Acha basi 😅😅😅
sisi ndo tuna pipe zimechangamka, nyie zimeanza kusinyaa😂mmeshafanya masihara mengi sana😂Mashangazi ni kwa ajili yetu sisi sio wao.
Hellow Africa
Dah ninaishi na wife huu mwaka wa nne sasa ila kero kubwa wageni hawakauki hapa nyumbani ndugu zake wanaingia na kutoka kiasi kwamba mtu huwezi kuweka akiba yako.
Juzi kaja mgonjwa wa vidonda vya tumbo Jumapili huwa tuna kawaida ya kupika pilau yeye tukampikia ndizi lakini wapi eti kaenda kugombania ukoko wa pilau na mwanangu wa mwisho mpaka kaja kuniambia chumbani.
Yaani huyo sijui kakataliwa na mshangazi humu, ndio maana ana hasira na sisi.Mkuu hebu kuwa na adabu kidogo, usiwaongelee tena 😅😅
Hizi ID mpya nyingi ni za watoto wa 2000 kuja juu 😅😅😅Aki tena, yaani tena hapo ningepiga Ile voda fasta angekua mtoto wangu wa 3
Apuuzwe🤣Usimsikilize huyo, hana nia nzuri na mood yako 😅