Nimechoka kutumia V 8 sasa je, ni gari gani nyingine inafaa

Nimechoka kutumia V 8 sasa je, ni gari gani nyingine inafaa

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman itawale kwenu wakuu

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu


Nimekuja kwenu kuomba ushaul wenu maana nyie wana jf ndo wanangu wa kufa na kuzikana

Nyie ndo ndugu zangu wa damu

Nimechoka kutumia V 8 sasa je ni gar gan nyingine inafaa kutumiwa ila iwe japo ya kuanzia milion mia nne kwenda juu

Japo mimi naifikilia sana Chevrolet

Je Chevrolet inafaa? Kweli wazee

Gari yangu ya kwanza kununua ilikuwa teza badae subaru lakin kwa sasa natumia V 8

Lakin nayo nimeichoka sasa basi ni gar gan nyingine ni nzur na inafaa kutumiwa na mtu kama mimi ambaye nimeichoka v 8

Ni hayo tu ndugu zangu


Ushaul wenu


LONDON BOY
 
Aman itawale kwenu wakuu

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu


Nimekuja kwenu kuomba ushaul wenu maana nyie wana jf ndo wanangu wa kufa na kuzikana

Nyie ndo ndugu zangu wa damu

Nimechoka kutumia V 8 sasa je ni gar gan nyingine inafaa kutumiwa ila iwe japo ya kuanzia milion mia nne kwenda juu

Japo mimi naifikilia sana Chevrolet

Je Chevrolet inafaa? Kweli wazee

Gari yangu ya kwanza kununua ilikuwa teza badae subaru lakin kwa sasa natumia V 8

Lakin nayo nimeichoka sasa basi ni gar gan nyingine ni nzur na inafaa kutumiwa na mtu kama mimi ambaye nimeichoka v 8

Ni hayo tu ndugu zangu


Ushaul wenu


LONDON BOY
Kiduku lilo amekurithisha kipaji cha misifa au ni yule yule Kiduku kupitia ID nyingine?
 
Aman itawale kwenu wakuu

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu


Nimekuja kwenu kuomba ushaul wenu maana nyie wana jf ndo wanangu wa kufa na kuzikana

Nyie ndo ndugu zangu wa damu

Nimechoka kutumia V 8 sasa je ni gar gan nyingine inafaa kutumiwa ila iwe japo ya kuanzia milion mia nne kwenda juu

Japo mimi naifikilia sana Chevrolet

Je Chevrolet inafaa? Kweli wazee

Gari yangu ya kwanza kununua ilikuwa teza badae subaru lakin kwa sasa natumia V 8

Lakin nayo nimeichoka sasa basi ni gar gan nyingine ni nzur na inafaa kutumiwa na mtu kama mimi ambaye nimeichoka v 8

Ni hayo tu ndugu zangu


Ushaul wenu


LONDON BOY
Unahitaji ushaul au ushauri!

Anyway baada ya V8 tumia chaser au Mark II grand iko poa saba
 
Aman itawale kwenu wakuu

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu


Nimekuja kwenu kuomba ushaul wenu maana nyie wana jf ndo wanangu wa kufa na kuzikana

Nyie ndo ndugu zangu wa damu

Nimechoka kutumia V 8 sasa je ni gar gan nyingine inafaa kutumiwa ila iwe japo ya kuanzia milion mia nne kwenda juu

Japo mimi naifikilia sana Chevrolet

Je Chevrolet inafaa? Kweli wazee

Gari yangu ya kwanza kununua ilikuwa teza badae subaru lakin kwa sasa natumia V 8

Lakin nayo nimeichoka sasa basi ni gar gan nyingine ni nzur na inafaa kutumiwa na mtu kama mimi ambaye nimeichoka v 8

Ni hayo tu ndugu zangu


Ushaul wenu


LONDON BOY

Njoo nikuuzie passo kwa milioni 420
 
Tangu Jf iwe na kesi imekosa weledi kabisa mada kama hii angeisubiri hadi azeeke akichangia post za wenzake tu
 
Back
Top Bottom