Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman itawale kwenu wakuu
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu
Nimekuja kwenu kuomba ushaul wenu maana nyie wana jf ndo wanangu wa kufa na kuzikana
Nyie ndo ndugu zangu wa damu
Nimechoka kutumia V 8 sasa je ni gar gan nyingine inafaa kutumiwa ila iwe japo ya kuanzia milion mia nne kwenda juu
Japo mimi naifikilia sana Chevrolet
Je Chevrolet inafaa? Kweli wazee
Gari yangu ya kwanza kununua ilikuwa teza badae subaru lakin kwa sasa natumia V 8
Lakin nayo nimeichoka sasa basi ni gar gan nyingine ni nzur na inafaa kutumiwa na mtu kama mimi ambaye nimeichoka v 8
Ni hayo tu ndugu zangu
Ushaul wenu
LONDON BOY
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu
Nimekuja kwenu kuomba ushaul wenu maana nyie wana jf ndo wanangu wa kufa na kuzikana
Nyie ndo ndugu zangu wa damu
Nimechoka kutumia V 8 sasa je ni gar gan nyingine inafaa kutumiwa ila iwe japo ya kuanzia milion mia nne kwenda juu
Japo mimi naifikilia sana Chevrolet
Je Chevrolet inafaa? Kweli wazee
Gari yangu ya kwanza kununua ilikuwa teza badae subaru lakin kwa sasa natumia V 8
Lakin nayo nimeichoka sasa basi ni gar gan nyingine ni nzur na inafaa kutumiwa na mtu kama mimi ambaye nimeichoka v 8
Ni hayo tu ndugu zangu
Ushaul wenu
LONDON BOY