Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ile ranger uliyotoka nayo mwanza vipi kwani haikufai.Aman itawale kwenu wakuu
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu
Nimekuja kwenu kuomba ushaul wenu maana nyie wana jf ndo wanangu wa kufa na kuzikana
Nyie ndo ndugu zangu wa damu
Nimechoka kutumia V 8 sasa je ni gar gan nyingine inafaa kutumiwa ila iwe japo ya kuanzia milion mia nne kwenda juu
Japo mimi naifikilia sana Chevrolet
Je Chevrolet inafaa? Kweli wazee
Gari yangu ya kwanza kununua ilikuwa teza badae subaru lakin kwa sasa natumia V 8
Lakin nayo nimeichoka sasa basi ni gar gan nyingine ni nzur na inafaa kutumiwa na mtu kama mimi ambaye nimeichoka v 8
Ni hayo tu ndugu zangu
Ushaul wenu
LONDON BOY
Ndio yeye mkuu hawa wasikuumize kichwa huwa matapeli wa mtandaoniJuzi huyu ninja si ndo alisema anasafili kwa ford ranger
mnaotumia pc wekeni link za nyuzi zake za nyuma akisimulia alivyokuwa akipanda fisi n.k.
ile safari ya mwanza-dar masaa 7 iacheni kwanza.
maana wamezidi kutudharau sisi wenye usafiri asilia TZ 11