Nimechoka kutumia V 8 sasa je, ni gari gani nyingine inafaa

Nimechoka kutumia V 8 sasa je, ni gari gani nyingine inafaa

Hiyo ndio inakufaa
tapatalk_1562647940254.jpeg
 
Jf raha sana,mtu hajawahi hata kumiliki hata baiskeli anajidai ameichoka v8
 
Ushauli ndo mdudu gani?
V8 ni madudu gani?
 
hiyo sekta mwachie kidukulilo we imekupwaya vibaya mno uandishi tu matakataka
 
Aman itawale kwenu wakuu

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu


Nimekuja kwenu kuomba ushaul wenu maana nyie wana jf ndo wanangu wa kufa na kuzikana

Nyie ndo ndugu zangu wa damu

Nimechoka kutumia V 8 sasa je ni gar gan nyingine inafaa kutumiwa ila iwe japo ya kuanzia milion mia nne kwenda juu

Japo mimi naifikilia sana Chevrolet

Je Chevrolet inafaa? Kweli wazee

Gari yangu ya kwanza kununua ilikuwa teza badae subaru lakin kwa sasa natumia V 8

Lakin nayo nimeichoka sasa basi ni gar gan nyingine ni nzur na inafaa kutumiwa na mtu kama mimi ambaye nimeichoka v 8

Ni hayo tu ndugu zangu


Ushaul wenu


LONDON BOY
Mkuu ile ranger uliyotoka nayo mwanza vipi kwani haikufai.
Hivi ulifika saa ngapi siku ile
 
Dogo habari za hapo mabatini Mwanza!!!,, kama hujanywa chai nichek Pm
 
mnaotumia pc wekeni link za nyuzi zake za nyuma akisimulia alivyokuwa akipanda fisi n.k.

ile safari ya mwanza-dar masaa 7 iacheni kwanza.

maana wamezidi kutudharau sisi wenye usafiri asilia TZ 11
 
Back
Top Bottom