jogijo
JF-Expert Member
- Mar 29, 2019
- 260
- 495
Wakuu habari, naomba niende kwenye mada moja kwa moja. Nimesoma Education (bachelor of education in policy planning and management) nikispecialize kwenye Economics and accountancy kama teaching subjects, Sikuwahi kupenda kuwa mwalimu lkn baada ya kumaliza form six niliona sina option zaidi ya kuomba hiyo.
Sababu zilifanya niombe kwanza ni hali ngumu ya nyumbani na wigo mpana wa ajira na mkopo. Nilivyomaliza chuo nilibahatika kufanya kazi shule kadhaa as private baadhi zinalipa vizuri zingine ndio hivyo tena.
Mwaka 2016 nilibahatika kupata kazi serikalini, mwanzo nilifurahi lkn picha linaanza nilipangiwa shule na masomo ya kufundisha yakawa sawa yaani Economics and accountancy lakini shule niliyopangwa kwanza ni o level pili haina somo la biashara hata moja, nilivyouliza nikaambiwa Bora nikubali nafundisha hata Civics maana shule iliyopo ya biashara ni moja tu na iko kijijini sana. Nilikubali na kuanza kazi mwanzo nilifundisha Civics baadae nikaona siwezi nikahamia kwenye maths hadi sasa.
Changamoto ni nini? Nimechoka kufundisha vitu nisivyovipenda, zaidi pia ualimu ni taaluma nzuri isiyokuwa na shukrani, haina fursa ya kukua au kuongezeka kitaaluma, kiuchumi inadumaza sana.
Msaada kwenu, what is the best, nirudi shule nikasome course mbadala? Au niombe uhamisho na kwa technique ipi ili nipate kulingana na masomo yangu ili nisipelekwe huko kufundisha commerce na bk wakat Ajira yangu ni ya Economics na account?
Kama ni shule je fursa ziko wapi kati ya kozi hizi nilizozipenda?
1. Insurance and risk management?
2. Social security hii sijui kirefu sana lkn inadeal na mifuko ya hifadhi za jamii.
3. Kama ipo nyingine in relation to business niambie.
Natanguliza shukrani, na samahani kwa uzi mrefu.
Sababu zilifanya niombe kwanza ni hali ngumu ya nyumbani na wigo mpana wa ajira na mkopo. Nilivyomaliza chuo nilibahatika kufanya kazi shule kadhaa as private baadhi zinalipa vizuri zingine ndio hivyo tena.
Mwaka 2016 nilibahatika kupata kazi serikalini, mwanzo nilifurahi lkn picha linaanza nilipangiwa shule na masomo ya kufundisha yakawa sawa yaani Economics and accountancy lakini shule niliyopangwa kwanza ni o level pili haina somo la biashara hata moja, nilivyouliza nikaambiwa Bora nikubali nafundisha hata Civics maana shule iliyopo ya biashara ni moja tu na iko kijijini sana. Nilikubali na kuanza kazi mwanzo nilifundisha Civics baadae nikaona siwezi nikahamia kwenye maths hadi sasa.
Changamoto ni nini? Nimechoka kufundisha vitu nisivyovipenda, zaidi pia ualimu ni taaluma nzuri isiyokuwa na shukrani, haina fursa ya kukua au kuongezeka kitaaluma, kiuchumi inadumaza sana.
Msaada kwenu, what is the best, nirudi shule nikasome course mbadala? Au niombe uhamisho na kwa technique ipi ili nipate kulingana na masomo yangu ili nisipelekwe huko kufundisha commerce na bk wakat Ajira yangu ni ya Economics na account?
Kama ni shule je fursa ziko wapi kati ya kozi hizi nilizozipenda?
1. Insurance and risk management?
2. Social security hii sijui kirefu sana lkn inadeal na mifuko ya hifadhi za jamii.
3. Kama ipo nyingine in relation to business niambie.
Natanguliza shukrani, na samahani kwa uzi mrefu.