Once a pusha always a pusha… kuna addiction flan hivii unaipata.Kiukweli upusha sio poa asikuambie mtu mimi na huu urembo wangu kazi insyoniweka mjini hapa ni upusha aisee sio poa japo unapata pesa za kutosha lakini unaishi kwa mashaka tu.
Kiukweli nyie vijana acheni upusha sio poa jana kuna mwana amepigwa mvua ya miaka thelathini baada ya kukutwa na Heroine na bangi aisee sio poa wakuu.
The end justifies the means... Keep on fightingKiukweli upusha sio poa asikuambie mtu mimi na huu urembo wangu kazi insyoniweka mjini hapa ni upusha aisee sio poa japo unapata pesa za kutosha lakini unaishi kwa mashaka tu.
Kiukweli nyie vijana acheni upusha sio poa jana kuna mwana amepigwa mvua ya miaka thelathini baada ya kukutwa na Heroine na bangi aisee sio poa wakuu.
Wasambazaji madawa kwa wateja wa rejarejaUpusha ndo nini kwanza
Nimekumbusha kwenye wimbo wa aslay “pusha washa nina stress zimejaa kwenye kichwa”
Shida sio kutaka attention Ila kwa nini anaitaka hiyo attention. Ukifikiria kiundani utaona kuna namna anahitaji kuwa cared na kuoneshwa upendo maana yupo lonely. Kama ukiwa na time, msalimie hata PM ajisikie vizuri and maybe unaweza kuyajua mengi zaidiMtoa mada Ni attention seeker,
Nothing serious here,tunajichosha,
Mnabisha,Fuatilieni thread zake zilizopita
Kuna ukweli hapa[emoji848]Shida sio kutaka attention Ila kwa nini anaitaka hiyo attention. Ukifikiria kiundani utaona kuna namna anahitaji kuwa cared na kuoneshwa upendo maana yupo lonely. Kama ukiwa na time, msalimie hata PM ajisikie vizuri and maybe unaweza kuyajua mengi zaidi
Mtoa mada Ni attention seeker,
Nothing serious here,tunajichosha,
Mnabisha,Fuatilieni thread zake zilizopita
Analeta Uzi,anaingia mitini kusoma replies zenu
Vijana wengi wanasumbuliwa na Upweke njia pekee wanayoona ita solve tatizo lao ni kufungua nyuzi za kufikirika JFMtoa mada Ni attention seeker,
Nothing serious here,tunajichosha,
Mnabisha,Fuatilieni thread zake zilizopita
Analeta Uzi,anaingia mitini kusoma replies zenu
Oya usiache, ukiacha nani atanitolea kitu?Kiukweli upusha sio poa asikuambie mtu mimi na huu urembo wangu kazi insyoniweka mjini hapa ni upusha aisee sio poa japo unapata pesa za kutosha lakini unaishi kwa mashaka tu.
Kiukweli nyie vijana acheni upusha sio poa jana kuna mwana amepigwa mvua ya miaka thelathini baada ya kukutwa na Heroine na bangi aisee sio poa wakuu.