Waĺlahkiukweli nimechoka kuwa single
miaka yangu ni 23
nipo mkoa wa DSM
nime maliza chuo
pia sjawahi kukutana na mwanaume
ninayo tu.
Kweli Priscilla bikra yako unakuja kuirusha sandakalawe Jf ![emoji53][emoji53]kiukweli nimechoka kuwa single
miaka yangu ni 23
nipo mkoa wa DSM
nime maliza chuo
pia sjawahi kukutana na mwanaume
ninayo tu.
Umetoa ushauri utafikiri mleta mada yupo serious!!Usijali kabisaaa... Tulia muombe Mungu naye atakupa wa kufanana nawe.
Huu sio wakati wa kusema umechoka mueleze Mungu tuu mdogo wanguu mzuri!
unadhani nitawapa basiKuwa tu makini Mdogo Wangu na hawa manyang'au wa humu, Usiwe desperate sana unaweza jutia huo uamuzi wako baadye..!!
amenielewa sanaaaaa ndyo maana kanishauriUmetoa ushauri utafikiri mleta mada yupo serious!!
hahaha hahaha hahaha mbavu zangu mieeeeePiga nyeto tu....! Kma huko mtaani hawakutongozi means huna mvuto
kiukweli nimechoka kuwa single
miaka yangu ni 23
nipo mkoa wa DSM
nime maliza chuo
pia sjawahi kukutana na mwanaume
ninayo tu.
Mungu ampe hiyo hekima,Hakuna wakati wa kulalamika! Ni kumueleza Mungu hitaji la moyo wake!
Sijui kama hayupo serious!Umetoa ushauri utafikiri mleta mada yupo serious!!
Ni nzuri tuuMungu ampe hiyo hekima,
habari za kupotea?