Priscilla priscon
Member
- May 12, 2018
- 57
- 53
- Thread starter
-
- #61
Umeona...we amesoma kote uko mpk chuo bado ypo single...basi atakuwa hana mvuto kbs
wewewe sema nyie mademu wa skuizi vimeo sanaTatizo mnamkuwaga mnazingua tu wenyewe sio kwamba hakuna kjana aliyeku approach ila basi tu unatafuta chaguo lako mara nyingi huwa mnaangukia kwa wanaume chapa ilale
ayalabda ume pm mwingine
mi namjibu kila MTU mbona
muulize Malaya MARASHI kama huamini
Nmekupm mbn haunijbhahaha hahaha mnanikosha kaka yenu mie
una ky-jellyNmekupm mbn haunijb
mi kaka ako weweMtoa mada mimi nina wasiwasi na bikra yako isije kuwa una bikra ya malimao wewe
Wewe acha uwongo,,, uwe na kumbukumbu nitakuumbua, au nipost picha zako humukiukweli nimechoka kuwa single
miaka yangu ni 23
nipo mkoa wa DSM
nime maliza chuo
pia sjawahi kukutana na mwanaume
ninayo tu.
Ngoja tarehe za sikukuu zipite kwanza, ndio nikutafutekiukweli nimechoka kuwa single
miaka yangu ni 23
nipo mkoa wa DSM
nime maliza chuo
pia sjawahi kukutana na mwanaume
ninayo tu.
Hongera. Njookiukweli nimechoka kuwa single
miaka yangu ni 23
nipo mkoa wa DSM
nime maliza chuo
pia sjawahi kukutana na mwanaume
ninayo tu.
vipi wewe unaye akulaye?Usijali kabisaaa... Tulia muombe Mungu naye atakupa wa kufanana nawe.
Huu sio wakati wa kusema umechoka mueleze Mungu tuu mdogo wanguu mzuri!
Champaign Opening ceremonySo unataka mwanaume azindue
Miaka 23 umechoka kwa sasa tu adeal na wale wenye 36 hadi 44 se endelea na kz na bataHongera. Njoo