Nimechoka kuwapa hela vibarua wa kulima shamba langu kwa kutumia jembe la mkono

Nimechoka kuwapa hela vibarua wa kulima shamba langu kwa kutumia jembe la mkono

Hypersonic

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2012
Posts
829
Reaction score
1,564
Wakuu habari za mchana,

Nimekuja kwenu kuleta wazo na kuomba ushauri hii ni kutokana na ukweli kwamba nimechoka kuwapa hela vibarua wa kulima shamba langu kwa kutumia jembe la mkono.

Hivyo nikawaza nikiwa kijijini tulikuwa tunatumia jembe la kukotwa kwa ngómbe (Plau) hivi hakuna namna nikatumia hili plau na badala ya kutumia wanyama nikanunua engine ya lawn more au engine ya pikipiki au engine ya chain saw alafu nikamodify hili plau na likaweza kusukumwa kwa engine?

Hii ni kwa ajili ya kulimia eneo dogo kuzunguka makazi yangu lakini pia kwa kuwa ni maeneo mapya nitatumia pia kulima kwenye viwanja vya majirani zangu kwa kivuli cha kuwasafishia viwanja vyao na kupanda vitu vidogo vidogo.

Kwa kawaida napenda kuzalisha na kutumia vyakula ama mboga nilizolima mwenyewe ambazo najitahidi sana kutotumia viwatilifu vya viwandani na badala yake natengeza pia vya kwangu vinavyotokana na majani ya mwarobaini, vinager, maganda ya mayai nk.

Mwenye ujuzi na mambo ya mechanical na umeme naombeni ushauri
 
Nunua power tiller mkuu ina engine ya kufanya yote tena ukiwa peke yako. Unabadili tu kitendea. Mfano ukitaka kupasua mbao, unaitoa mkanda mmoja unaunganisha na kifaa cha kupasulia. Kulima ndio kabisa. Unakuwa na tela lake pia. Litakupatia pesa nyingi tu, kuwabebea hata mchanga, tofali. Bonge la mashine. Milioni 5,6 mpaka 7 kwa sasa.
 
Wakuu habari za mchana,

Nimekuja kwenu kuleta wazo na kuomba ushauri hii ni kutokana na ukweli kwamba nimechoka kuwapa hela vibarua wa kulima shamba langu kwa kutumia jembe la mkono.

Hivo nikawaza nikiwa kijijini tulikuwa tunatumia jembe la kukotwa kwa ngómbe (Plau) hivi hakuna namna nikatumia hili plau na badala ya kutumia wanyama nikanunua engine ya lawn more au engine ya pikipiki au engine ya chain saw alafu nikamodify hili plau na likaweza kusukumwa kwa engine?

Hii ni kwa ajili ya kulimia eneo dogo kuzunguka makazi yangu laakini pia kwa kuwa ni maeneo mapya nitatumia pia kulima kwenye viwanja vya majirani zangu kwa kivuli cha kuwasafishia viwanja vyao na kupanda vitu vidogo vidogo.

Kwa kawaida napenda kuzalisha na kutumia vyakula ama mboga nilizolima mwenyewe ambazo najitahidi sana kutotumia viwatilifu vya viwandani na badala yake natengeza pia vya kwangu vinavotokana na majani ya mwarobaini, vinager, maganda ya mayai nk.

Mwenye ujuzi na mambo ya mechanical na umeme naombeni ushauri
Asante mkuu ila nahitaji mini powder weeder au mini tiller, sitaki kutumia zaidi ya 2M
 
Funguka tu kwenye power tiller icho Cha million mbili unachotaka kubuni utakula hasara tu au kujikuta umetumia gharama zaidi.

Nikamwambia kwa sababu nimeshawahi kuwaza kama wewe hadi kufunga plau kwenye pikipiki lakini wapi.
 
Alibaba na aliexpress kuna mali kibao shida kufikisha Tanzania kuna moja inauzwa laki 9 ila kuifiksha Tanzania ndio changamoto.

Tukipata namna ya kuingiza hapa kwa bei nafuu basi wakulima tunaweza kula matunda.
 
Alibaba na aliexpress kuna mali kibao shida kufikisha tz, kuna moja inauzwa laki 9,ila kuifiksha tz ndio changamoto.

Tukipata namna ya kuingiza hapa kwa bei nafuu basi wakulima tunaweza kula matunda.
Alibaba nilishajaribu mkuu, nikaongea na supplier akanishauri nitafute agent aliyeko Guangzhou nikawatafuta hawa jamaa wa silent ocean upande wa loose cargo shida yao kubwa ni kwamba hawapokei simu wala hawajibu sms. Supplier naye kajaribu bila mafanikio nikaachana nayo. Hawana msaada wa moja kwa moja tofauti na wanavyojitangaza. Hata ukipiga simu ofisi zao Dar unaishia kuambiwa acha namba ya simu ya supplier wako, supervisor atawasiliana naye lakini hamna kitu.
 
Tumia trekta
TREKTA inahitajika kwenye major project hii ya kwangu ni mini kwa maana mazingira ya nyumbani tena mjini. Mfano ukiangalia wenzetu Ulaya unakuta mtu ana hivyo vimashine vidogo vidogo vingi tu, unakuta mini tractor, exacavator, tiller nk
 
Alibaba nilishajaribu mkuu, nikaongea na supplier akanishauri nitafute agent aliyeko Guangzhou nikawatafuta hawa jamaa wa silent ocean upande wa loose cargo shida yao kubwa ni kwamba hawapokei simu wala hawajibu sms. Supplier naye kajaribu bila mafanikio nikaacahana nayo. Hawana msaada wa moja kwa moja tofauti na wanavojitangaza. Hata ukipiga simu ofisi zao Dar unaishia kuambiwa acha namba ya simu ya supplier wako supervisor atawasiliana naye lakini hamna kitu
Cheki bidhaa unayotaka ukiwa tayari unicheki, kuna jamaa huwa anaagiza mizigo
 
Wakuu habari za mchana,

Nimekuja kwenu kuleta wazo na kuomba ushauri hii ni kutokana na ukweli kwamba nimechoka kuwapa hela vibarua wa kulima shamba langu kwa kutumia jembe la mkono.

Hivo nikawaza nikiwa kijijini tulikuwa tunatumia jembe la kukotwa kwa ngómbe (Plau) hivi hakuna namna nikatumia hili plau na badala ya kutumia wanyama nikanunua engine ya lawn more au engine ya pikipiki au engine ya chain saw alafu nikamodify hili plau na likaweza kusukumwa kwa engine?

Hii ni kwa ajili ya kulimia eneo dogo kuzunguka makazi yangu laakini pia kwa kuwa ni maeneo mapya nitatumia pia kulima kwenye viwanja vya majirani zangu kwa kivuli cha kuwasafishia viwanja vyao na kupanda vitu vidogo vidogo.

Kwa kawaida napenda kuzalisha na kutumia vyakula ama mboga nilizolima mwenyewe ambazo najitahidi sana kutotumia viwatilifu vya viwandani na badala yake natengeza pia vya kwangu vinavotokana na majani ya mwarobaini, vinager, maganda ya mayai nk.

Mwenye ujuzi na mambo ya mechanical na umeme naombeni ushauri
Nina shamba kisarawe, huko vibarua ni tatizo kubwa, nikiwa kwenye kuangalia hapa na pale mtandaoni namna gani nitengeneze treka la mkono mara ghafla nimepita mavurunza nakutana na katrekta ka engine ya water pump na gear box ya pikipiki.... nikipata tena huko nitakuwekea picha na mawasiliano ya fundi.

Inafanana na hiki kwa kiasi fulani



Screenshot_20220406-192527.png
 
Funguka tu kwenye power tiller icho Cha million mbili unachotaka kubuni utakula hasara tu au kujikuta umetumia gharama zaidi.

Nikamwambia kwa sababu nimeshawahi kuwaza kama wewe ad kufunga plau kwenye pikipiki lakini wapi.

😂😂😂😂😂
 
Wakuu habari za mchana,

Nimekuja kwenu kuleta wazo na kuomba ushauri hii ni kutokana na ukweli kwamba nimechoka kuwapa hela vibarua wa kulima shamba langu kwa kutumia jembe la mkono.

Hivo nikawaza nikiwa kijijini tulikuwa tunatumia jembe la kukotwa kwa ngómbe (Plau) hivi hakuna namna nikatumia hili plau na badala ya kutumia wanyama nikanunua engine ya lawn more au engine ya pikipiki au engine ya chain saw alafu nikamodify hili plau na likaweza kusukumwa kwa engine?

Hii ni kwa ajili ya kulimia eneo dogo kuzunguka makazi yangu laakini pia kwa kuwa ni maeneo mapya nitatumia pia kulima kwenye viwanja vya majirani zangu kwa kivuli cha kuwasafishia viwanja vyao na kupanda vitu vidogo vidogo.

Kwa kawaida napenda kuzalisha na kutumia vyakula ama mboga nilizolima mwenyewe ambazo najitahidi sana kutotumia viwatilifu vya viwandani na badala yake natengeza pia vya kwangu vinavotokana na majani ya mwarobaini, vinager, maganda ya mayai nk.

Mwenye ujuzi na mambo ya mechanical na umeme naombeni ushauri
Zipo mashine za kulima kwa mkono za kusukuma.
Google alibaba, zinauzwa dola 500. Sina hakika kama zitafanya vizuri kwetu ila India zinatumika sana.
 
Mkuu wasiliana na HANS AGRICULTURE MACHINES wana zana bora na za saizi tofauti tofauti kuanzia za kupandia, kulimia, kupalilia na kukata majani, kufyeka, kuvunia n.k. kuja pm na namba yako ya what's app nikutumie product walizonazo na namba zao za simu, ukipendezwa uwasiliane nao.
Wakuu habari za mchana,

Nimekuja kwenu kuleta wazo na kuomba ushauri hii ni kutokana na ukweli kwamba nimechoka kuwapa hela vibarua wa kulima shamba langu kwa kutumia jembe la mkono.

Hivo nikawaza nikiwa kijijini tulikuwa tunatumia jembe la kukotwa kwa ngómbe (Plau) hivi hakuna namna nikatumia hili plau na badala ya kutumia wanyama nikanunua engine ya lawn more au engine ya pikipiki au engine ya chain saw alafu nikamodify hili plau na likaweza kusukumwa kwa engine?

Hii ni kwa ajili ya kulimia eneo dogo kuzunguka makazi yangu laakini pia kwa kuwa ni maeneo mapya nitatumia pia kulima kwenye viwanja vya majirani zangu kwa kivuli cha kuwasafishia viwanja vyao na kupanda vitu vidogo vidogo.

Kwa kawaida napenda kuzalisha na kutumia vyakula ama mboga nilizolima mwenyewe ambazo najitahidi sana kutotumia viwatilifu vya viwandani na badala yake natengeza pia vya kwangu vinavotokana na majani ya mwarobaini, vinager, maganda ya mayai nk.

Mwenye ujuzi na mambo ya mechanical na umeme naombeni ushauri
 
Wakuu habari za mchana,

Nimekuja kwenu kuleta wazo na kuomba ushauri hii ni kutokana na ukweli kwamba nimechoka kuwapa hela vibarua wa kulima shamba langu kwa kutumia jembe la mkono.

Hivo nikawaza nikiwa kijijini tulikuwa tunatumia jembe la kukotwa kwa ngómbe (Plau) hivi hakuna namna nikatumia hili plau na badala ya kutumia wanyama nikanunua engine ya lawn more au engine ya pikipiki au engine ya chain saw alafu nikamodify hili plau na likaweza kusukumwa kwa engine?

Hii ni kwa ajili ya kulimia eneo dogo kuzunguka makazi yangu laakini pia kwa kuwa ni maeneo mapya nitatumia pia kulima kwenye viwanja vya majirani zangu kwa kivuli cha kuwasafishia viwanja vyao na kupanda vitu vidogo vidogo.

Kwa kawaida napenda kuzalisha na kutumia vyakula ama mboga nilizolima mwenyewe ambazo najitahidi sana kutotumia viwatilifu vya viwandani na badala yake natengeza pia vya kwangu vinavotokana na majani ya mwarobaini, vinager, maganda ya mayai nk.

Mwenye ujuzi na mambo ya mechanical na umeme naombeni ushauri
Njoo nikuagizie kwa Bei nafuu kutoka China
 
Ni
Nina shamba kisarawe, huko vibarua ni tatizo kubwa, nikiwa kwenye kuangalia hapa na pale mtandaoni namna gani nitengeneze treka la mkono mara ghafla nimepita mavurunza nakutana na katrekta ka engine ya water pump na gear box ya pikipiki.... nikipata tena huko nitakuwekea picha na mawasiliano ya fundi.

Inafanana na hiki kwa kiasi fulani



View attachment 2178206

Nipe no ya fundi nakihitaji
 
Ni

Nipe no ya fundi nakihitaji
Mkuu hata hapa bongo hii mashine unatengenezewa.. ila nimeona bajeti yako 2m kidogo nikarudi nyuma, engine yenyewe inaenda laki 6, hujaweka pulleys, frames, plates (majembe) nk labor charge apo itabaki kiasi gani fikiria
 
Back
Top Bottom