[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukilewa usitumie simu. Ona sasa aibu unayowapa wazazi wako. Wanaonekana waliuza ng'ombe ili wapeleke ng'ombe nyingine shule.
Me nakupa makavu unasema nina matatizo ya akili haya ngoja nikutafute wauzaji tuone utafikia wapiuna matatizo ya akili au? Mbona kilichoulizwa na unachojieleza tofauti
mkuu nipo serious we nipe chimbo na abc zake ili ujue kama mwamba natania au vp ya maji ipo mkuu kama huamin njoo pm nikutumie picha za kias cha pesa nilichoandaa mana usije ukazan jamaa kama kadata au ni mtu wa masikhara hapana mi nataka kujuaMe nakupa makavu unasema nina matatizo ya akili haya ngoja nikutafute wauzaji tuone utafikia wapi
Kageramuleba ya wapi mkuu?
barikiwa mkuu vipi una abc zozote za kuhusu umiliki hapa nchini, kama vibali, kodi nkHawa hapa wauzaji wanakuletea mzigo hadi nyumbani kwako. Hii ni chopper ndogo ya watu 4 ila unaweza waulizia wakakupatia brand na model tofauti ya hii. View attachment 2887045View attachment 2887043View attachment 2887044
Mmeanza kutagiana tena