ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,491
- 8,304
Huyu shemeji yenu alichonifanyia Leo sijui nifanye nini !
Nimetoka kibaruani kuuza duka la mchaga happy mjini nimechoka,si nikasahau kumletea mikate ya chai ya asubuhi.!!Eti anadai ndiyo matatizo ya kuolewa na ma_shithole...Kumpiga nimetamani lakini sina hata nguvu nikebakia kumtazama tu.
Nimetoka kibaruani kuuza duka la mchaga happy mjini nimechoka,si nikasahau kumletea mikate ya chai ya asubuhi.!!Eti anadai ndiyo matatizo ya kuolewa na ma_shithole...Kumpiga nimetamani lakini sina hata nguvu nikebakia kumtazama tu.