Nimechoka mpaka mkia.

Nimechoka mpaka mkia.

ndayilagije

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2016
Posts
7,491
Reaction score
8,304
Huyu shemeji yenu alichonifanyia Leo sijui nifanye nini !
Nimetoka kibaruani kuuza duka la mchaga happy mjini nimechoka,si nikasahau kumletea mikate ya chai ya asubuhi.!!Eti anadai ndiyo matatizo ya kuolewa na ma_shithole...Kumpiga nimetamani lakini sina hata nguvu nikebakia kumtazama tu.
 
Back
Top Bottom