Nimechoka mwili na roho mwalimu miye loh!!!

Ndo uzuri wa vijiji vilivyopinda kwani hakuna matumizi makubwa,ona mpaka sasa hujatumia hata thumuni.
hata buku mbili.
 
wakati unachagua kusoma ualimu haukutushirikisha leo ndo unatuambia , kafanye kazi binti mimi nakushauri hivyo. I have many frnds of mine huko Tz walisoma koz tofauti bt baada ya kukosa ajira walienda kusoma PGDE Now wanapiga kazi.
 
wakati unachagua kusoma ualimu haukutushirikisha leo ndo unatuambia , kafanye kazi binti mimi nakushauri hivyo. I have many frnds of mine huko Tz walisoma koz tofauti bt baada ya kukosa ajira walienda kusoma PGDE Now wanapiga kazi.

mmh sasa ulikuwepo enzi hizo?acha hizo.haya nimekupata!
 
Ndo uzuri wa vijiji vilivyopinda kwani hakuna matumizi makubwa,ona mpaka sasa hujatumia hata thumuni.
hata buku mbili.

ha ha yani zimetulia tuli huku nyanya za miatano kisadolini af nalia nalia hapa! Loh! Aku!
 
Nyie ndo wale walimu walikuwa hawaandiki ubaoni wanaogopa kuchafuliwa na chaki. Nawaonea huruma vijana watanzania .Waalimu wa ukweli ni wachache mno. Wengi wao wameangukia hiyo profession kama last resort.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…