unajua unachokiongea? Umeshasema binafsi!! Then unaongelea boom la namna gani????!!!! MMU for what???
kukichafua? Sijaelewa hapo !!
Mke wangu kapangwa mazingira ya hatari sana! Kuna baridi ya kutosha na ana kabinti kangu ka mwezi mmoja,naona hatari tupu mbele yake,duh! Nimemwambia arudi tuje tujadili upya hiyo ajira.
Mke wangu kapangwa mazingira ya hatari sana! Kuna baridi ya kutosha na ana kabinti kangu ka mwezi mmoja,naona hatari tupu mbele yake,duh! Nimemwambia arudi tuje tujadili upya hiyo ajira.
Hizi ni changamoto moja kati ya v2 vinavyotia hasira ni kwenda kuishi sehemu ambayo hujataka kuishi tena kwa shuruti aisee pole sana ndugu fanya mpango utoke hyo sehemu kwa udi bila kusahau uvumba la sivyo utachakaa kabla ya cku zako.
Mbaya zaidi walimu kupangiwa vi2o ambavyo hawajachagua hii ni mbaya wakati huohuo pesa ya kujikimu haitolewi yote hv wanategemea nani awe mzalendo kama wao wanashndwa
kwanini usimwambie akaombe shule nyingine? Inawezekana! Ila pole afu hongera kwa kabinti mpe jina langu eeeh!!
mm nlikuwa nachukia sana maisha ya kijiji wakati napangiwa mwaka 2007 nikakimbia nikaja dar hapa nikapiga shule fresh ikaisha ila nnachotaka kukushauri usije toka serikalini ukaenda private eti wanalipa vizuri huku kumeoza ninauzoefu miaka saba niliokaa ni upuuzi mtupu hawana hela ya kulipa mishahara social security ni sifuri na sasa hivi shule za kata zimewafanya wasiwe na wanafunzi kwa hiyo wananyan"ganyana wanafunzi...na hapa Dar shule nyingi zinakufa kama unabisha toka huko .......+=+=++++++++++mmmh haya mwaya thenks kwa ushauri wako!!!
dada munkar pole sana.ila watu huwa wanahama fanya mishe uhame.
! Aaagh narudi kwetu sitaki tena watanizeesha !!!
i wish niwawekee picha vilee ! Mmmh au kwakuwa nimezoea kuyaona magorofa ya posta na kkoo? Aaah hapana bwana huku kwa ajabu!! Nashkuru kwa kunipa moyo!
Sikuelewei Munkari
Hivi wakati ukisomea ualimu ulitegemea ufanye kazi wapi?
Ualimu hauna mazingira kwani ni mtu wa kueleimsha taifa
Kituo chake ni popote.
Unaogopa kut@mbwa na mwanaume asiye wa elimu yako?
Vumilia au acha kazi
Bazazi tangu darasa la saba alikuwa akiweka X katika nafasi ya ualimu
Wewe ukafikiria kazi tu bila kujali mazingira
Bazazi anafani inayomfanya asiishi nje ya makao makuu ya wilaya