Nimechoka na haya maisha nataka kujiua nipumzike

Nimechoka na haya maisha nataka kujiua nipumzike

Status
Not open for further replies.

wakuchuja

Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
17
Reaction score
35
Kama nilivyoandika kwenye mada hapo juu, nimekuwa nikipitia magumu kila kukicha baada ya kupoteza mali mke kaniacha sina chochote

Nimetengwa na ndg karibia wote hata nliokuwa nawasaidia nimekuwa ni mtu wa masononeko kila kukicha mbaya zaidi connection zangu karibia zote zimepotea

Nimepoteza matumaini tena, naomba kama kuna mtu anafahamu sumu inaweza kuuwa kwa haraka na uhakika anitajie niitafte

Maana nimejaribu kufanya majaribio kadhaa sumu zinafeli(nilikuwa nanunua viwatilifu kutoka maduka ya pembejeo)

Tafadhari kama hujui sumu usinishauri kitu kingine
 
Kama nilivyoandika kwenye mada hapo juu, nimekuwa nikipitia magumu kila kukicha baada ya kupoteza mali mke kaniacha sina chochot...
Kabla ya kutoa ushauri wangu, naomba kwanza unielezee ni namna gani hiyo mbinu kujiua inaweza ikawa ni muafaka katika kuyakabili matatizo yanayokisibi. Huenda ikawa ni mbinu nzuri, ila nahitaji majibu keanza
 
Mungu akunusuru na hilo pepo. Si kawaida. Unapaswa kuwa mshindi siku zote. Jiambie sipaswi kufa kizembe hivyo. Mungu amekuonyesha watu sahihi katika kipind hiki kigumu unachopitia. Amin nakwambia. Kesho yako itakuwa bora tena bora na the least ni histori. Mungu akutetee mkuu!
 
Wanawake mafala sana ukipoteana hawana huruma hawa watu sijui kwa nini wanahisi jufilisika ni kama kuwa mlemavu.

Oya usijiue hapo cha kufanya badili location nenda mkoa mwingine jifanye umevurugwa uvamie kazi yoyote kinachokutafuna ni kuona watu waliokuzoea ukiwa upo kwenye mfumo.

Sepa nenda mkoa mwingine pambana kama mwehu utanishukuru baadae
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom