Njoo desire tunywe biaNipo Geita
Ata mie nimeligundua hiloMkorofi huyo🤣🤣
Mimi nikifikia hali kama yako naenda zangu kuishi kichokoraa. Sijaumbwa na aibu wala hofu ya vitu. Tuliza akili utapata njia.Kama nilivyoandika kwenye mada hapo juu, nimekuwa nikipitia magumu kila kukicha baada ya kupoteza mali mke kaniacha sina chochot...