Huyu mtu ana matatizo lizzy yani akiwa na kazi anaweza kuchanganyikiwa kabisa sas ntambadilishaje aondokane na hii hali nahis hana uwezo wa kumanage mambo mengi kwa wakat mmoja
Kujali I mean anajali familia kwa mahitaji yoote lakini kimawasiliano ndo anakiwa mgumu
Asante ushaur mzuri ntazingatiaDavina mama why are you behaving like that my dear? Kumbe hana tatizo kama anacare kwa mahitaji yote ya family isipokuwa ni kujisahau tu kwenye simu kwa ubusy wa kazi. Nahisi wewe uliolewa bado mdogo sana hivyo hujakua. Sababu unazonipa hapa ni za kitoto sana kwa wewe kutaka kufikia hayo maamuzi.
Tulia mtoto mzuri mumeo anakupenda sana na anamenyeka kwaajili yako na watoto. Wanaume kukumendea hilo lisikudanganye coz wao huwa na hurka ya kutamano. Kumbuka kutongozwa siyo uzuri au siyo ndo kupendwa coz hata vichaa au walemavu hutongozwa na kuzalishwa tena na watu wa maana huwezi amini.
Kunamigubeli humu haijawahi bahatika kuolewa itakushauri uachane na mumeo mzuri na wamaana, au itakwambia utafute wa pembeni weee koma kabisa mamangu dunia hii imeharibika vibaya sana, utakuja kufa ungali mbichiiii..kuna watu wanapesa na mvuto na miili safi ilojengeka, wenye magari, elimu na kazi nzuri but wanaishi kwa vidonge na wanapendeza sana kwa macho. Kuwa mwangalifu mama kondom siyo ya kuiamini, we hayaaaa weeee utajakumbuka haya maneno nikufundayo mama.
Tulia tuliii ktk ndoa yako mtoto mzurii mumeo hana shida ila wewe ni wivu unaota unaibiwa kumbe siyo. Kumbuka wakupendao hukwambia ikweli daima, we have enough experience ktk ndoa thats why twakuonya mama. Usiache kuomba daima Mungu akupe amani.
Davina inawezekana there is more to this than maelezo ulotoa.... Wanadamu watofautiana saana kitabia, na moja ya hio tabia ni kuonesha ni kwa kiwango gani ajali kuhusu familia. Sio wanaume woote wapo that caring kwa familia zao, but haina maana kua hawana Mapenzi na familia zao (iwe mke ama watoto). Mwenyewe usha kiri kua hayupo caring kwa familia toka kipindi.... kwa maneno mengine ni hio kuzima simu na kutojali ni kawaida yake....
However kuna maswali ya msingi ya kuuliza hapa maana wanawake twatofautiana ku define caring..... Unaposema hayupo caring ni sababu tu akutafuti kwenye simu ama sababu hatimizi pia responsibilities zake ndani ya familia? Angalia tabia yake kwa mambo mengine (nje ya the so called caring) katika ndoa yenu ipo vipi.. Na zingatia pia kua kuishi wanadamu pamoja ni kazi saana hivo wanandoa kuna wakati hua wanapita unaitwa "Rut stage" yaani mnakua mmechokana mpaka baaas! to the extent msipoangalia mwaweza vunja ndoa kizembe kabisa. Nakushauri kua hilo wazo umeamua liangalie/tafakari kwa undani before moving forward.... Nakutakia kila la kheri katika kutatua tatizo lako....
asante ushaur mzuri ntazingatia
Asante ushaur mzuri ntazingatia
Kumbe Davina na Mankaa ni mtu mmoja!
Mama jaribu kucontrol ID zako humu.
pole sana dada yangu kwa yote yaliyokukuta lakini yote hayo ni mitihani ya kimaisha. Kumbuka kuwa uliapa kanisani/msikitini kuwa mtapendana katika shida na raha, katika mateso na uchungu hadi kifo kitakapowatenganisha. Ki ukweli watu wengi huwa haelewi nini maana ya hiki kiapo na ndio maana watu wengi hukifanyia mzaha.
Cha kufanya dada yangu kabla ya kuamua kufanya chochote naomba ujaribu kuongea na huyo mume wako umueleze jinsi unavyojisikia pale anavyokufanyia kitu flani na pia umueleze ni kitu gani ambacho yeye angependa akufanyie huwezi jua pengine anaweza kubadilika kama hiyo hali likuwa ni tabi yake na is vinginevyo.
na kama hali ukiona bado inaendelea kuwa hivyo hivyo jaribu kufanya uchunguzi pengine inawezekana akawa na mwanamke mwingine au pengine inawezekana akawa ni shoga au basha na ndio maana hana mapenzi kwako
Kujali I mean anajali familia kwa mahitaji yoote lakini kimawasiliano ndo anakiwa mgumu
dahh..umenistua cna haiwezekan hiv dia usiende mbali hivyo
kama unataka kuachana naye na kwenda kwa hiyo minjemba mingine inayokumendea si uondoke tu? kwa taarifa tu, kila mtu ana weaknesses zake; so, get prepared!Dah..hapa kapatikaba npigia ile anapokea tuu.kaanza kuna kitu kinanchanganya h hivi ile laptop uliyonitumia uliweka kebo ya umeme mbona kama siioni..cjamjibu nkakata cm kapiga sipokei nahisi me nakuwa mtumwa ukizingatia midume kibao yanimendea hyu namheshimu lakn ataka kunipa presha dah
heeee davina mme kuzima simu tu unataka kurudi kwenu,yaani ukimpa baba yako hiyo sababu atakurudisha kwa mmeo mapeeeeeeeeeema, vuta subira atakutafuta na muulize kwa nn alizima simu,kuna mazito zaidi ya hayo kwenye hizi ndoaNaomba msaada..ni mume wangu nina miaka saba nae some how hajatulia lakini kwa kuwa me ni mwanamke mpambanaji maisha yaendelea kiubishi..yupo mkoani kikazi toka jana usiku saa tatu kazima simu hajanitafuta simu zote hazipatikani mpaka sasa najua yawezekana pia kapitiwa mambo mengi kasahau kuiwasha asubuhi au hazina charge lakini pia huwa siyo mtu wa kucare sana mawasiliano ya family hasa akisafiri.. Pamoja na sababu yoyote atakayonipa nataka niweleze kuwa nimechoka kuishi kwa wasi wasi coz kazima simu nitajuaje kama kapatwa na matatizo au ni mzima? Hii hali imenichosha na ndiyo kawaida yake sa naona naishi kwa wasi wasi coz of him. Namweleza kuwa bora nirudi nyumban kwetu nikamwombe baba yangu aniendeleze kielimi am tired with this stupid life mwanaume hapendeki anataka roho yangu Kuna wakati huwa nampotezea kabisa sijishughulushi kumpigia simu lakini sasa mwenzangu habadiliki
miaka saba bado tu inshu ya simu inatishia usalama wa ndoa yako?
Seven years of marriage unataka uvunje ndoa kisa simu
Hebu nenda kapate juice ya passion mahali utulize kichwa uje hapa utueleze linalokusumbua na sio hili
Ahhh hizi ndoa hizi
Hivi wakati hakuna simu babu zetu walipokuwa wanasafiri walikuwa wanawasiliana vipi na bibi zetu kuwajulisha kuwa wako salama
Kama wanaume wangekuwa hivi basi wote wangekuwa wameachana na wake zao zamani sana. Duniani kuna mamboNaomba msaada..ni mume wangu nina miaka saba nae some how hajatulia lakini kwa kuwa me ni mwanamke mpambanaji maisha yaendelea kiubishi..yupo mkoani kikazi toka jana usiku saa tatu kazima simu hajanitafuta simu zote hazipatikani mpaka sasa najua yawezekana pia kapitiwa mambo mengi kasahau kuiwasha asubuhi au hazina charge lakini pia huwa siyo mtu wa kucare sana mawasiliano ya family hasa akisafiri..
Pamoja na sababu yoyote atakayonipa nataka niweleze kuwa nimechoka kuishi kwa wasi wasi coz kazima simu nitajuaje kama kapatwa na matatizo au ni mzima?
Hii hali imenichosha na ndiyo kawaida yake sa naona naishi kwa wasi wasi coz of him. Namweleza kuwa bora nirudi nyumban kwetu nikamwombe baba yangu aniendeleze kielimi am tired with this stupid life mwanaume hapendeki anataka roho yangu
Kuna wakati huwa nampotezea kabisa sijishughulushi kumpigia simu lakini sasa mwenzangu habadiliki