Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,991
- 24,211
Nilidhani hujui 'capacity' ya mmeo
Kumbe unaijua???
Mwanawake huwa anaolewa na mwanamme akitegemea mwanamme atabadilika na HABADILIKI
Mwanamme huwa anaoa mwanamke akitegemea mwanamke hatabadilika na ANABADILIKA
GROW UP
Kumbe unaijua???
Mwanawake huwa anaolewa na mwanamme akitegemea mwanamme atabadilika na HABADILIKI
Mwanamme huwa anaoa mwanamke akitegemea mwanamke hatabadilika na ANABADILIKA
GROW UP
Huyu mtu ana matatizo lizzy yani akiwa na kazi anaweza kuchanganyikiwa kabisa sas ntambadilishaje aondokane na hii hali nahis hana uwezo wa kumanage mambo mengi kwa wakat mmoja