nimechoka na huyu mume msaada

kama unataka kuachana naye na kwenda kwa hiyo minjemba mingine inayokumendea si uondoke tu? kwa taarifa tu, kila mtu ana weaknesses zake; so, get prepared!
anatafuta huruma na visisngizio vya kukimbilia kwa hiyo mijamaa
 

What a lovely advise! I really like this, thanks!
 
Mwanamke hawezi mwacha mumewe kizembe namna hiyo......we jidanganye tu utajajuta!!
 
kwani manka na davina ni mtu mmoja? Kwani sasa watuchanganya. Au manka nawe umeguswa?

hiyo ndiyo JF bwana, the home of great thinkers... kuna wengine wanabadilika jinsia humu kila wakati kulingana na post iliyopo mezani - sijui ni transgender/ transsexual!
 

umeeleza vyema sana mkuu; tatizo ni kwamba baadhi ya hawa dada zetu huwa hawajifunzi mpaka yawakute
 
Mmh pole mama, ndoa znakua ndoa, badae ndoano mwisho inarud kuwa ndoa.vumilia
 
mh haya JF haiishi mambo na vijambo!wapo wanaopendana humuhumu,wapo wanaoachana,wapo wanaotafuta wapenzi,bila kusahau wanaume wapigaji wanaotaka kulelewa yan ilimradi jamvi liko bize.kaaaaaaaaaaaaaaaaazi kweli kweli.
 
anatafuta huruma na visisngizio vya kukimbilia kwa hiyo mijamaa

yaani hiyo ya kuzima simu ilikuwa ni kisingizio tu................... hapo cha kufanya ni kumwambia tu nimekuchoka nataka kwenda kujaribu kuishi na mwingine
 
Ushaingiwa na wazo la kugawa kitumbua chako pengine,
 
tatizo hapo ni kuvumilia kwa tabia ya mumeo ya kutotulia,ulijipa moyo kwa kuwa ni mwanamke mpambanaji halitakusumbua,ukweli limekusumbua na maumivu yake yamekuwa yakiaccumulate to the point hayavumiliki anymore....mwaya kama yamekushinda bwaga manyanga life is too short!!!
 

yaani umeongea points tupu. Inabidi a-print kabisa hii post aiweke kwenye pochi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…