Nimechoka na timu kiba, nahamia zangu WCB

Nimechoka na timu kiba, nahamia zangu WCB

Enzi zetu likizo kama hii ya Pasaka tulikuwa busy kupiga tuition kwa akina Mkandawile na wengineo...shule zifunguliwe haraka.
 
6e7ae3d5c83646b0bc0490645290c8e2.jpg
Hichi kibanda hakipo kwa Sokota temeke kweli???
 
Mi mwenyew nlikua cmpend diamond lakn alikua anatoa doz hatar mbona nlijikuta tu namkubali bla kupenda
 
Mi mwenyew nlikua cmpend diamond lakn alikua anatoa doz hatar mbona nlijikuta tu namkubali bla kupenda
sio tu diamond, hata timu yake yote inatoa dozi ya kutosha

sasa mavoko na hamonize washafanya yao teyari
[HASHTAG]#show[/HASHTAG] me
 
Back
Top Bottom