amani ya nafsi
Member
- Mar 2, 2013
- 5
- 1
Habarini,...
mm ni msichana wa chuo kikuu na ningali nasoma lakin nadhan nimefikia umr muafaka wa kua na famlia mana najua naweza himili masomo yangu na ndoa yangu kwa pamoja mana najua kumlea mume wala cyo kazi..sichagui dini wala kabila nachojali upendo na amani itawale baina yetu..mm ni nipo mwanza na ntafurah kama ntapata mwanza mana dstanc luv nkaz kdogo..Napendelea mwanaume mwenye umr kuanzia miaka 28-36.,mcheshi,mchapa kaz,.mpenda elimu,,mpenda maendeleo,.cpend mwanaume mwenye sifa..Alie na nia dhabit ani pm na Mungu akijaalia tutakua mke na mume nkudhibit unidhibit...asanten
mm ni msichana wa chuo kikuu na ningali nasoma lakin nadhan nimefikia umr muafaka wa kua na famlia mana najua naweza himili masomo yangu na ndoa yangu kwa pamoja mana najua kumlea mume wala cyo kazi..sichagui dini wala kabila nachojali upendo na amani itawale baina yetu..mm ni nipo mwanza na ntafurah kama ntapata mwanza mana dstanc luv nkaz kdogo..Napendelea mwanaume mwenye umr kuanzia miaka 28-36.,mcheshi,mchapa kaz,.mpenda elimu,,mpenda maendeleo,.cpend mwanaume mwenye sifa..Alie na nia dhabit ani pm na Mungu akijaalia tutakua mke na mume nkudhibit unidhibit...asanten