Nimechoka na upweke..nahitaji kuolewa sasa atleast niwe busy na ndoa yangu kwa mapenzi yote

Nimechoka na upweke..nahitaji kuolewa sasa atleast niwe busy na ndoa yangu kwa mapenzi yote

Mbona uko desparate hivyo kuolewa?? Wat happened?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Unajua kukatikia?
mkuu Jipu uko kiwanja gani cha wahaya mida hii? tandika, uwanja wa fisi au buguruni... mimi nimepita mitaa ya kimboka ajabu nimekuta vibinti vidogo lakini nvilinipa mizuka usipime
 
Last edited by a moderator:
Habarini,... mm ni msichana wa chuo kikuu na ningali nasoma lakin nadhan nimefikia umr muafaka wa kua na famlia mana najua naweza himili masomo yangu na ndoa yangu kwa pamoja mana najua kumlea mume wala cyo kazi..sichagui dini wala kabila nachojali upendo na amani itawale baina yetu..mm ni nipo mwanza na ntafurah kama ntapata mwanza mana dstanc luv nkaz kdogo..Napendelea mwanaume mwenye umr kuanzia miaka 28-36.,mcheshi,mchapa kaz,.mpenda elimu,,mpenda maendeleo,.cpend mwanaume mwenye sifa..Alie na nia dhabit ani pm na Mungu akijaalia tutakua mke na mume nkudhibit unidhibit...asanten
bibie mimi niko full vigezo wewe ni PM tu upate penzi motomoto
 
Back
Top Bottom