Nimechoka tabia ya watu kuja kwangu na kuniomba kila kitu wanachokiona nimenunua

Nimechoka tabia ya watu kuja kwangu na kuniomba kila kitu wanachokiona nimenunua

Kuna wengine wakiona umenunua kitu kikali kama raba au t-shirt utasikia niuzie hii. Yaani wao kwenda kununua hawezi kuchagua au hii mimi naichukia balaa
 
Unaombwa kitu na hauwezi kukataa halafu mwisho wa siku unakuja kulaumu watu kwa kukufanyia jambo ambalo wewe mwenyewe ulilikubali.

Wewe kushindwa kuwakatalia wanaokuomba kisa kuogopa kuonekana una roho mbaya ndo kunakugharimu mali zako, pesa zako, hata amani ya moyo.

bora kuonekana una roho mbaya kuliko kuonekana boya. wewe unaona unawasaidia, wao wanakuona boya, huna uchungu na jasho lako.

wewe ndo wa kubadilika sio wao, jifunze kusema HAPANA.

Uzi wako umetamka maneno mengi ila herufi sita tu zinakushinda kumtamkia binadamu mwenzako.

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Kuna tabia ambao sasa hivi nimeanza kuiona mbaya sana kwangu, zamani nilikuwa nachukulia poa.

Mimi ni mtu wa kusafiri sana huwa nakusanya vitu mbalimbali naweka home.
Ila kuna tabia ya watu wakiwemo wana na mademu zangu wakija home utaskia naomba hiki naomba kile nawapa.

Mwanzo niliona poa ila sasa najiuliza kwani mimi nilinunua vitu hivi ili nipoteze pesa zangu au?

Hebu watu acheni tabia za kupenda kuona kitu umekipenda basi badala usema ukakinunue wewe unaishia naomba hiki naomba kile kwani mpaka umekiona kiko kwake mwenzio si kakinunua?

Kama unasoma uzi huu unakuja next time eti "naomba Jordan hizi" , "naomba tivii ile ya gym room" ujue zinauzwa na mimi nanunua, siyo nna saa mpya au simu mpya unakuja unaomba ya zamani kwani mimi siwezi kuwa nazo hamsini?.

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app

Wana + Ndugu + Mademu = Umaskini

Ukishakuwa maskini Utawaona Kabisa, Acha ukarimu wa Kifala, na ni kwa sababu una cha kuwapa ndo mana unawaona.

Tafuta mke, wana na Ndugu watakaa mbali, ila mke nae adui wa karibu, chagua kwa makini, fuata ushauri wa Imani yako.
 
Mimi kuna chumba nimeweka vifaa vya gym na pia kuna tivii sizitumiii ziko huko sasa mtu anaomba, nikinunua tvii mpya zingine naweka kule, mimi nanunua sana vitu vipya ni mfuatiliaji sana wa teknolojia yani ni technocrat, japo kuna kitu una mpa mtu alafu unhitaji reference hukioni unajilaumu kwanini mtu kachukua kitu changu.

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Acha uchoyo mkuu we wape tu
So far viko store wanakusaidia ku dispose
 
Kuna tabia ambao sasa hivi nimeanza kuiona mbaya sana kwangu, zamani nilikuwa nachukulia poa.

Mimi ni mtu wa kusafiri sana huwa nakusanya vitu mbalimbali naweka home.
Ila kuna tabia ya watu wakiwemo wana na mademu zangu wakija home utaskia naomba hiki naomba kile nawapa.

Mwanzo niliona poa ila sasa najiuliza kwani mimi nilinunua vitu hivi ili nipoteze pesa zangu au?

Hebu watu acheni tabia za kupenda kuona kitu umekipenda basi badala usema ukakinunue wewe unaishia naomba hiki naomba kile kwani mpaka umekiona kiko kwake mwenzio si kakinunua?

Kama unasoma uzi huu unakuja next time eti "naomba Jordan hizi" , "naomba tivii ile ya gym room" ujue zinauzwa na mimi nanunua, siyo nna saa mpya au simu mpya unakuja unaomba ya zamani kwani mimi siwezi kuwa nazo hamsini?.

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Mkuu huwa unashikiwa panga na watu unaowapaga hivyo vitu???
 
Kuna tabia ambao sasa hivi nimeanza kuiona mbaya sana kwangu, zamani nilikuwa nachukulia poa.

Mimi ni mtu wa kusafiri sana huwa nakusanya vitu mbalimbali naweka home.
Ila kuna tabia ya watu wakiwemo wana na mademu zangu wakija home utaskia naomba hiki naomba kile nawapa.

Mwanzo niliona poa ila sasa najiuliza kwani mimi nilinunua vitu hivi ili nipoteze pesa zangu au?

Hebu watu acheni tabia za kupenda kuona kitu umekipenda basi badala usema ukakinunue wewe unaishia naomba hiki naomba kile kwani mpaka umekiona kiko kwake mwenzio si kakinunua?

Kama unasoma uzi huu unakuja next time eti "naomba Jordan hizi" , "naomba tivii ile ya gym room" ujue zinauzwa na mimi nanunua, siyo nna saa mpya au simu mpya unakuja unaomba ya zamani kwani mimi siwezi kuwa nazo hamsini?.

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Toa ulichonacho,Mungu anakuona hadi ndani ya moyo wako
 
Umeoa?! Kama haujaoa tatizo linaanzia hapo. Unapokuwa na mke, mojawapo ya majukumu yake ni kulinda mali zako.

Wanawake ndio husaidia kukulindia mali zako dhidi ya watu wanaotaka kukufuja.

Mkiambiwa ndoa huwa mnawaza kugegeda tu. Ukiwa na mke hata mshahara utaona unatumikaje na utaenda vizuri. Ila ukiwa haupo na mke na hauwezi kujisimamia , utashangaa pesa inapotea na haujui imekwenda wapi.
 
Mimi kuna chumba nimeweka vifaa vya gym na pia kuna tivii sizitumiii ziko huko sasa mtu anaomba, nikinunua tvii mpya zingine naweka kule, mimi nanunua sana vitu vipya ni mfuatiliaji sana wa teknolojia yani ni technocrat, japo kuna kitu una mpa mtu alafu unhitaji reference hukioni unajilaumu kwanini mtu kachukua kitu changu.

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Basi nakushauri uoe nduku, utakuja kunambia hapa. Mwambie mkeo awe ndio Procurement officer. Najua watu watamind ila baadae watazoea kuwa fulani mkewe anabana balaa.
 
Ukitoa toa bila kukumbuka, ukitoa na kusononeka siyo vizuri...
 
Umeoa?! Kama haujaoa tatizo linaanzia hapo. Unapokuwa na mke, mojawapo ya majukumu yake ni kulinda mali zako.

Wanawake ndio husaidia kukulindia mali zako dhidi ya watu wanaotaka kukufuja.

Mkiambiwa ndoa huwa mnawaza kugegeda tu. Ukiwa na mke hata mshahara utaona unatumikaje na utaenda vizuri. Ila ukiwa haupo na mke na hauwezi kujisimamia , utashangaa pesa inapotea na haujui imekwenda wapi.
Mbona wewe hujaoa, umebaki kuwa mshauri wa masuala ya mahusiano wakati huna hata mchumba.
 
Back
Top Bottom