Nimechoka Upweke...

Nimechoka Upweke...

Status
Not open for further replies.
Kazi- huna
Hela- huna
Nyumba -huna
At 40yrs hujajenga?
Hayo maden sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

All the best.
Wewe una miaka ngapi na una nini ambacho ni outstanding?
 
Wewe una miaka ngapi na una nini ambacho ni outstanding?
Unataka nitangaze hapa ili iweje? Hujui 40 ndo inabidi vitu vya muhimu uwe navyo? Mm ni wa kike ila siwezi fika 40 yrs bila nyumba trust me.
 
Unataka nitangaze hapa ili iweje? Hujui 40 ndo inabidi vitu vya muhimu uwe navyo? Mm ni wa kike ila siwezi fika 40 yrs bila nyumba trust me.
Kwa hiyo mkuu unaona wale wazee wenye 50 years na bado wamepanga hawana nyumba ni vichaa na wajinga na wao wanacheza hawatafuti au maisha haya hayana mwenyewe ni kumuomba Mungu unaweza fika hiyo 40 achana na kuwa na nyumba bali hata kodi tu ikawa inakuzingua kiaina
 
Kwa hiyo mkuu unaona wale wazee wenye 50 years na bado wamepanga hawana nyumba ni vichaa na wajinga na wao wanacheza hawatafuti au maisha haya hayana mwenyewe ni kumuomba Mungu unaweza fika hiyo 40 achana na kuwa na nyumba bali hata kodi tu ikawa inakuzingua kiaina
Hayo ya vichaa, sijui wajinga umesema wewe hakuna sehemu nimetaja hivyo.
 
Huna kazi, huna hela, huna nyumba na una deni kubwa la 2.4M sasa hizo kilo 84 umezipataje??
Kwa hali uliyo nayo ilitakiwa uwe na kilo 50 kushuka chini!!
By the way kwa kilo hizo ulizo nazo (84kg) haziendani kabisa na urefu wako (1.7m) yaani unaonekana ni ki Lemutuz kingine mjini na sidhani Kama utakua na uwezo wa kumpiga mbupu na kumridhisha huyo unaemtafuta humu kwa ubonge nyanya huo.
Zaidi sana utacreate matatizo mengine tu Kama kuchapiwa nje ukufe kwa presha siku sio nyingi
Naomba uniruhusu nikutukane....ivi kilo ndo unene??? Duuuh mliambiwa msome biology O'level mkazarau onana sasa upupu unaoandika humu
 
Umri: 40
Elimu: Diploma
Uzito : 84kg
Urefu: 1.7m
Kazi: Sina
Hela: Sina
Nyumba: Sina
Watoto: Watatu Ke1, Me2
Mke: Sina
Ujuzi: Umeme, useremala, na ufundi vyuma.
Madeni: Milion 2.4

Mengineyo:
Situmii pombe, sigara Wala bangi... Nilishawahi Kutumia Miaka 18 iliyopita. Napenda kujishughulisha kazi za mikono za ujuzi... Kujisomea vitabu... Nina ndoto kubwa Sana Lakini sijaweza kuzitekeleza... Ukija tutasaidiana jinsi ya kuanza na Kufanikisha ndoto zetu.
Kuhusu Mapenzi Nina wivu Sana sipendi umalaya.. Mwanamke nayemuhitaji awe Mjane au aliyezaa angalau watoto wawili..Apende kujishughulisha.. Umri wake aanzie 32-43 awe mwembamba asiwe mnene tafadhali... Dini Awe Mkristo.. Mengine tutakamilishana
Ukipendezwa nami karibu PM au gddtechnicians@gmail.com. Blessed
Hv ushapata mkuu[emoji23]
 
Ukishampata cha kwanza akulipie hilo deni.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom