Nimechoka Upweke...

Status
Not open for further replies.
Kazi- huna
Hela- huna
Nyumba -huna
At 40yrs hujajenga?
Hayo maden sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

All the best.
Wewe una miaka ngapi na una nini ambacho ni outstanding?
 
Wewe una miaka ngapi na una nini ambacho ni outstanding?
Unataka nitangaze hapa ili iweje? Hujui 40 ndo inabidi vitu vya muhimu uwe navyo? Mm ni wa kike ila siwezi fika 40 yrs bila nyumba trust me.
 
Unataka nitangaze hapa ili iweje? Hujui 40 ndo inabidi vitu vya muhimu uwe navyo? Mm ni wa kike ila siwezi fika 40 yrs bila nyumba trust me.
Kwa hiyo mkuu unaona wale wazee wenye 50 years na bado wamepanga hawana nyumba ni vichaa na wajinga na wao wanacheza hawatafuti au maisha haya hayana mwenyewe ni kumuomba Mungu unaweza fika hiyo 40 achana na kuwa na nyumba bali hata kodi tu ikawa inakuzingua kiaina
 
Hayo ya vichaa, sijui wajinga umesema wewe hakuna sehemu nimetaja hivyo.
 
Njoo tuyajenge na mimi maana mimi mwenyewe nipo nipo tu nazurura tu Duniani sina kitu na sina vigezo kwa mwanamke ninaye muhitaji ili mradi awe mwanamke anaye pumua tu.
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Naomba uniruhusu nikutukane....ivi kilo ndo unene??? Duuuh mliambiwa msome biology O'level mkazarau onana sasa upupu unaoandika humu
 
Hv ushapata mkuu[emoji23]
 
Ukishampata cha kwanza akulipie hilo deni.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…