Nimechoka Upwekee, Nahitaji Mwenza

Status
Not open for further replies.
Unatafuta "Mume" au unatafuta "mwasherati" wa kusogeza naye siku?
 
Njoo DM kama unamaanisha kwa dhati ukisemacho
 
Mwanaume akishakuwa na sifa ya kumuhudumia mwanamke kila kitu, kinachofata ni mwanaume kuwa msafi aiseee mimi mwanaume ambae hata nikimuona sivutiwi na usafi wake siwezi angaika nae hata kama pesa anayo.tho pesa napenda.

All the best mdada.
 

Kama wewe ni mweusi na huna baby face pita kule...
Tunadate cutes Siyo hela zako...
Hela natafuta zangu.
 
Hebu tuma picha kwanza isijekua ni Ile type ya kina mwajuma chaugoko [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi nimekupenda na nina sifa zote za kuweza kukumiliki ila tatizo nina miaka 24.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona umeifanya mada my dear? Kunuka siyo kitu cha kawaida ..Mimi najijua ni msafi, najipenda na pia naambiwaga...Sinuki hata nikitoka kuamka kama hutaki basi siyo lazima tufanane
Hata ukitoka kuamka? [emoji849][emoji849][emoji849] Basi wewe kama ni hivyo kamtafute malaika mwenzio mpendane tu [emoji15][emoji15][emoji15]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwani ulimpata?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…