Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Kwanini umlazimishe kuwa anatafuta danga na amesema anatafuta mchumba? Au mnajuana nyie? Maana si bure[emoji848][emoji848]tatizo anaficha, aweke wazi anatafuta danga , tuingie PM tu bid dau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini umlazimishe kuwa anatafuta danga na amesema anatafuta mchumba? Au mnajuana nyie? Maana si bure[emoji848][emoji848]tatizo anaficha, aweke wazi anatafuta danga , tuingie PM tu bid dau
hakuna aliposema anatafuta mchumba, btw mie simjui labda yeye anijue mimiamesema anatafuta mchumba?
Em jiheshimu...tatizo anaficha, aweke wazi anatafuta danga , tuingie PM tu bid dau
Unatafuta "Mume" au unatafuta "mwasherati" wa kusogeza naye siku?Habari wapendwa,
Natafta mwanaume wa kufarijiana. Natamani sana kupata mwanaume anayejua kuhonga na mimi nitakua namhonga[emoji179][emoji179].
Tushauriane, tutaniane,tupendane .In short I want a happy relationship.
Sifa.
Asiwe chini ya 30 yrs.
Awe anajua kumjali mwanamke .
Asiwe ananuka mdomo(cuz napenda sana romance)
Sifa zangu.
Umri wangu ni 27 yrs.
Mwelewa,msafi,mchapakazi na mjasiriamali.
Kama huna hizo sifa, USIJE DM.
Msinitukane please, Nitalia.
Mimi nijuane na huyo mbuzi,? Ana tabia kama za kike..Danga danga na yeye si atafteKwanini umlazimishe kuwa anatafuta danga na amesema anatafuta mchumba? Au mnajuana nyie? Maana si bure[emoji848][emoji848]
Njoo DM kama unamaanisha kwa dhati ukisemachoHabari wapendwa,
Natafta mwanaume wa kufarijiana. Natamani sana kupata mwanaume anayejua kuhonga na mimi nitakua namhonga[emoji179][emoji179].
Tushauriane, tutaniane,tupendane .In short I want a happy relationship.
Sifa.
Asiwe chini ya 30 yrs.
Awe anajua kumjali mwanamke .
Asiwe ananuka mdomo(cuz napenda sana romance)
Sifa zangu.
Umri wangu ni 27 yrs.
Mwelewa,msafi,mchapakazi na mjasiriamali.
Kama huna hizo sifa, USIJE DM.
Msinitukane please, Nitalia.
Hatujuani hivyo Kausha ...Uzi wangu haukuhusuhakuna aliposema anatafuta mchumba, btw mie simjui labda yeye anijue mimi
Calm down mama, life is too short to let people bother you. Muignore tu.Mimi nijuane na huyo mbuzi,? Ana tabia kama za kike..Danga danga na yeye si atafte
Habari wapendwa,
Natafta mwanaume wa kufarijiana. Natamani sana kupata mwanaume anayejua kuhonga na mimi nitakua namhonga[emoji179][emoji179].
Tushauriane, tutaniane,tupendane .In short I want a happy relationship.
Sifa.
Asiwe chini ya 30 yrs.
Awe anajua kumjali mwanamke .
Asiwe ananuka mdomo(cuz napenda sana romance)
Sifa zangu.
Umri wangu ni 27 yrs.
Mwelewa,msafi,mchapakazi na mjasiriamali.
Kama huna hizo sifa, USIJE DM.
Msinitukane please, Nitalia.
Mimi nimekupenda na nina sifa zote za kuweza kukumiliki ila tatizo nina miaka 24.Habari wapendwa,
Natafta mwanaume wa kufarijiana. Natamani sana kupata mwanaume anayejua kuhonga na mimi nitakua namhonga[emoji179][emoji179].
Tushauriane, tutaniane,tupendane .In short I want a happy relationship.
Sifa.
Asiwe chini ya 30 yrs.
Awe anajua kumjali mwanamke .
Asiwe ananuka mdomo(cuz napenda sana romance)
Sifa zangu.
Umri wangu ni 27 yrs.
Mwelewa,msafi,mchapakazi na mjasiriamali.
Kama huna hizo sifa, USIJE DM.
Msinitukane please, Nitalia.
Ulishakutana na mtu wa namna hiyo mkuu?My dear, sitaki mnuka mdomo kabisa..Unaweza fanya hayo yote lakini bado akawa ananuka mdomo...Sitaki kabisa
Hata ukitoka kuamka? [emoji849][emoji849][emoji849] Basi wewe kama ni hivyo kamtafute malaika mwenzio mpendane tu [emoji15][emoji15][emoji15]Mbona umeifanya mada my dear? Kunuka siyo kitu cha kawaida ..Mimi najijua ni msafi, najipenda na pia naambiwaga...Sinuki hata nikitoka kuamka kama hutaki basi siyo lazima tufanane
Mkuu kwani ulimpata?Nashukuru Kwa kujali. Japo Sikuwa na Maana ya kulipiwa.. Just Kuwa muwazi Kuwa some money zitaenda Kufukia Mashimo...!! Deni linakaribia kuisha.. Kabla ya December!! God is Great!! Mpaka Sasa nishalipa 1.9m Although Watu walichukulia kama Mzaha.. You people hamjui Watu wanapitia Nini.. But Secondly She is To Young to be My Lover.... We will Never Stop The Race .....[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]. Nilichojifunza ni Kuwa Watu Wengi ni waoga sana Kuamini na kuthubutu...But If You Try You will know Your Capabilities.... All the Best in this Journey of Life....
Sijampata.. Naona Wengi waliogopa Situation Yangu ya Wakati Ule... But Thanks Almighty God...Napambana Kazi zipo Chochote chapatikana Tunafukia Mashimo tukitengeneza Barabara nzuri zaidi Ya Maisha Mbeleni...!!!
Mungu akupe hitaji ls moyo wako...Sijampata.. Naona Wengi waliogopa Situation Yangu ya Wakati Ule... But Thanks Almighty God...Napambana Kazi zipo Chochote chapatikana Tunafukia Mashimo tukitengeneza Barabara nzuri zaidi Ya Maisha Mbeleni...!!!
Amen...