suzie _barbie
JF-Expert Member
- May 2, 2017
- 1,523
- 3,073
Habari wapendwa,
Natafta mwanaume wa kufarijiana. Natamani sana kupata mwanaume anayejua kuhonga na mimi nitakua namhonga[emoji179][emoji179].
Tushauriane, tutaniane,tupendane .In short I want a happy relationship.
Sifa.
Asiwe chini ya 30 yrs.
Awe anajua kumjali mwanamke .
Asiwe ananuka mdomo(cuz napenda sana romance)
Sifa zangu.
Umri wangu ni 27 yrs.
Mwelewa,msafi,mchapakazi na mjasiriamali.
Kama huna hizo sifa, USIJE DM.
Msinitukane please, Nitalia.
Natafta mwanaume wa kufarijiana. Natamani sana kupata mwanaume anayejua kuhonga na mimi nitakua namhonga[emoji179][emoji179].
Tushauriane, tutaniane,tupendane .In short I want a happy relationship.
Sifa.
Asiwe chini ya 30 yrs.
Awe anajua kumjali mwanamke .
Asiwe ananuka mdomo(cuz napenda sana romance)
Sifa zangu.
Umri wangu ni 27 yrs.
Mwelewa,msafi,mchapakazi na mjasiriamali.
Kama huna hizo sifa, USIJE DM.
Msinitukane please, Nitalia.