Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Sasa sawa kadhi mkuu hahahayaani kamsumali tu unaanzisha thread, huku tunachomwa na mikuki tunakomaa tu.
Mkuu sina hela ya lukulipa pia mm ni mwana mume..Nimtumie number kwa inbox nikifika nikucheki
Uandishi wako huwezi dhania ww ni mwanaumeMkuu sina hela ya lukulipa pia mm ni mwana mume..
Kama ni bure sawa...
Wahi kwanza ukachome sidano ya tetanus zen dawa za kukausha zifatie baadae
nenda hospitali haraka acha kudekA HAPA EBO
Pamwagie mafuta ya taa kidogo, then nenda kachome tetenasi
Mda uliotumia kuandika hii post unhekuwa ushafika hosptal
yaani kamsumali tu unaanzisha thread, huku tunachomwa na mikuki tunakomaa tu.
Hapo wahenga wanasemaga unapakojolea kimaniaje tyu after tetenus cz mkojo ni dawa tosha
MREJESHO:Huu ndiyo ushauri muafaka Mkuu.
Kwann mkuuUandishi wako huwezi dhania ww ni mwanaume
Hahaaa mkuu I think jamaa kahisi mm ni mwanamke...Te Lavista, nimecheka sana kiongozi. Tangu aunzishe thread hukurudi tena kuchukua mrejesho.
Ulivyorudi japo comment zilikuwa nyingi, lakini umeanza kujibu ile ulioulizwa unakaa wapi ili ukachuliwe. Hahahaha nimecheka sana.
Back to topic: sina uhakika na hili japo najua sindano ya tetanus ni bure. Sina uhakika lakini. Ungecheck kwanza private ni shs ngapi kuchoma kwani haiwezi kuwa bure kabisa kwa sababu ya kulipia mishahara ya watumishi.
Ni muhimu upate hii sindano ndani ya masaa 24 kama hujawahi kuchomwa sindano ya tetanus kwa miaka mitano iliyopita.
Ahsante sana mkuu kwa ushauri huu..Weka kisu jikon paka mafuta ya kula kwenye kidonda gonga kwa kutumia kisu kikiwa cha moto! Gonga kidogo kidogo angalia usiungue!; cku 2 nyingi kidonda kimekauka!!
Mguu mbona wa kike? Mwandiko mbona wa kikekike vile?!Mkuu sina hela ya lukulipa pia mm ni mwana mume..
Kama ni bure sawa...
Miaka ile ya tisini,kimzaha mzaha hivyo kama wewe uonavayo,tukiwa sekondari Boarding,tulimpoteza mwanafunzi mwenzetu kwa pepopunda. So muanzisha uzi yuko sahihi,na bila kupoteza muda unashauriwa ukachome sindano ya pepopunda(tetenus)Mda uliotumia kuandika hii post unhekuwa ushafika hosptal
Tayar mkuuuCha kwanza nenda hospital kachome sindano ya tetanus, vingine vifuate baadae
Watu hawajui mkuuMiaka ile ya tisini,kimzaha mzaha hivyo kama wewe uonavayo,tukiwa sekondari Boarding,tulimpoteza mwanafunzi mwenzetu kwa pepopunda. So muanzisha uzi yuko sahihi,na bila kupoteza muda unashauriwa ukachome sindano ya pepopunda(tetenus)
Mguu wangu wa kiume mkuu, labda kutokana na Upole wangu ndio maana naonekana mwanamke.Mguu mbona wa kike? Mwandiko mbona wa kikekike vile?!
Otherwise utakua na ugonjwa unaitwa "hormonal imbalance"
Yaani neno kituo cha Huduma za afya yaani Dispensary, health centre au hospital hujawahi kusikia? Jf si hospitali?Salamu wapendwa,
Mwenzeni nimepata ajali kidogo ya kuchomwa na msumari mguuni. Maumivu yake hayaelezeki jamani mguu umevimba kiasi maana kama nchi moja imeingia.
So nitumie dawa gani wapendwa ili ndani ya siku tatu niweze kutembea na donda liwe limekauka?
Nifanyaje?
Ahsante