gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,692
Kwa mwana jf aliyebahatika kupita njia ya mandela maeneo ya taraza siku ya leo atakuwa amekutana na vijana waliovaalia mashati meupe yenye mikono mirefu ambayo kifuani kwenye mfuko yamechorwa herufi M na kisha kuandikwa kwa maandish madogo ya blue majembe auction mart.
vijana hawa walionekana kuleta kero sana kwa watumiaji wa njia hasa kwa waliokuwa wanaelekekea temeke wakiwa kwenye mataa hapa NMC. walichokuwa wanakifanya ni wanasogelea gari sehem ya kwenye kioo kisha wanamwambia dereva paki pembeni ili wakague. sijui kwann nimeshindwa kuelewa maana ya kitendo kicho kwan nimewaza kwan huyu majembe ni badala ya traffic polisi? na je TRA hawana uwezo wa kukusanya mapato toka kwa wamiliki wa magari hadi watumie mtu kati ambaye inabidi alipwe?
haya kama ilinekana basi kunasababu ya kuwa nao hawa majembe kwann bas wasipewe elimu juu ya usalama barabaran? kwani inaelekea kabisa kwamb hawajui, ingekuwa wanajua wasingeweza kauondoa gari kwenye folen na kulipaki pembeni katika mdomo wa mataa, pia wangejua kabisa kwamba eneo wanalotumia ni risk areaa sana kwani ni karibu sana mna njia ya reli kias kwamba ukidelay magair kwa muda kidogo tu unasababisha kero si tu kwa magari bali hata njia ya reli.
vijana hawa walionekana kuleta kero sana kwa watumiaji wa njia hasa kwa waliokuwa wanaelekekea temeke wakiwa kwenye mataa hapa NMC. walichokuwa wanakifanya ni wanasogelea gari sehem ya kwenye kioo kisha wanamwambia dereva paki pembeni ili wakague. sijui kwann nimeshindwa kuelewa maana ya kitendo kicho kwan nimewaza kwan huyu majembe ni badala ya traffic polisi? na je TRA hawana uwezo wa kukusanya mapato toka kwa wamiliki wa magari hadi watumie mtu kati ambaye inabidi alipwe?
haya kama ilinekana basi kunasababu ya kuwa nao hawa majembe kwann bas wasipewe elimu juu ya usalama barabaran? kwani inaelekea kabisa kwamb hawajui, ingekuwa wanajua wasingeweza kauondoa gari kwenye folen na kulipaki pembeni katika mdomo wa mataa, pia wangejua kabisa kwamba eneo wanalotumia ni risk areaa sana kwani ni karibu sana mna njia ya reli kias kwamba ukidelay magair kwa muda kidogo tu unasababisha kero si tu kwa magari bali hata njia ya reli.