Nimechoshwa na toto langu la kiume wivu umezidi kwa mama yake

Nimechoshwa na toto langu la kiume wivu umezidi kwa mama yake

Mshamba wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2015
Posts
2,857
Reaction score
3,593
Yani huyu wakuja kabla hajaja mimi na mama yake tulikuwa tunaishi vizuri

Kidume nilikuwa nalala mapajani, nafanyiwa scrub mwili mzima na kukumbatiwa muda mote

Lakini ghafla toka huyu jamaa azaliwe hivi sasa ana miaka mitatu na nusu jamaa lina wivu kutwa kucha kunipiga makofi likinikuta na mama yake.

Nikipakatwa linanifukuza linapakatwa yeye sasa huyu ni mke wangu au mke wake yeye?

LEO NALIFUKUZA NYUMBANI KWANGU LIENDE KWA BIBI YAKE ...PUMBAFF KABISA.
 
Kisaikolojia huitwa 𝐏𝐡𝐚𝐥𝐥𝐢𝐜 𝐝𝐞𝐯𝐞𝐥𝐨𝐩𝐦𝐞𝐧𝐭 𝐬𝐭𝐚𝐠𝐞 ambapo
1. Kwa mtoto wa kiume huitwa Oedipus complex hapa mtoto anatama kukuta hata hio mashine yako yaani anavutiwa na mama yake,, mama akijichanganya akampa papuchi anakula mzigo kama ni rijali.
2.Kwa mtoto wa kike huitwa 𝐄𝐥𝐞𝐜𝐭𝐫𝐚 𝐜𝐨𝐦𝐩𝐥𝐞𝐱 (penis envy/jealous) yaan mtoto wa kike anavutiwa na baba yake (huwa anatamani mboo) Sema unakuta ni kadogo sasa hakawezi sema.

Kwa maelezo zaidi usisite kuja inbox a psychologist vs psychiatrist.
dronedrake Poor Brain Tlaatlaah To yeye Evelyn Salt All min -me
 
Yani huyu wakuja kabla hajaja mimi na mama yake tulikuwa tunaishi vizuri

Kidume nilikuwa nalala mapajani, nafanyiwa scrub mwili mzima na kukumbatiwa muda mote

Lakini ghafla toka huyu jamaa azaliwe hivi sasa ana miaka mitatu na nusu jamaa lina wivu kutwa kucha kunipiga makofi likinikuta na mama yake.

Nikipakatwa linanifukuza linapakatwa yeye sasa huyu ni mke wangu au mke wake yeye?

LEO NALIFUKUZA NYUMBANI KWANGU LIENDE KWA BIBI YAKE ...PUMBAFF KABISA.
cup-of-tea-teapot.gif
 
Back
Top Bottom