Zaidi ya mara 1000RRRR kazini.
Tunaziishi R 4 za mama Samia
Niliwahi kuandika zamani; Rais wa Tanzania ana nguvu ndani ya Tanzania kuliko Rais wa Marekani ndani ya Marekani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zaidi ya mara 1000RRRR kazini.
Tunaziishi R 4 za mama Samia
Niliwahi kuandika zamani; Rais wa Tanzania ana nguvu ndani ya Tanzania kuliko Rais wa Marekani ndani ya Marekani.
Kama umelipwa namsikitikia aliyekulipa, mbona kuna watu smart ambao wangempigia kazi nzuri tu.Shalom,
Nape Nnauye na January Makamba wametolewa kwa visa vya wazanzibar kutaka kujiwekea mizizi ya vita ya kutawala Tanganyika na kuiba na kupora rasilimali na mali za Tanganyika.
Watanganyika amkeni.
Ujumbe wangu kwa Nape Nnauye na January Makamba nawapenda na sitawaacha tumekua pamoja na tutazeeka pamoja. Nawapenda jipigeni kifua watapigana lakini hawatashinda.
Tutaona meng.
Wadiz
Kanywe nao chai Bumbuli na MtamaShalom,
Nape Nnauye na January Makamba wametolewa kwa visa vya wazanzibar kutaka kujiwekea mizizi ya vita ya kutawala Tanganyika na kuiba na kupora rasilimali na mali za Tanganyika.
Watanganyika amkeni.
Ujumbe wangu kwa Nape Nnauye na January Makamba nawapenda na sitawaacha tumekua pamoja na tutazeeka pamoja. Nawapenda jipigeni kifua watapigana lakini hawatashinda.
Tutaona meng.
Wadiz