Nimedatishwa na Malaya wa Morogoro soon naenda kutoa mahari

Pole, naona una feel guilty kuspend everything, it's time unajiuliza kama ilikuwa worth it, the way ulivyo in denial unaona ni sawa kuspend everything kwa miuno uliyopata. Hata walevi huwaga wanajiulizaga hivyo hivyo lol
 
Kikao cha wanaume tulishaazimia mpende mwanamke kwa 1.5% hizo zingine 98.5% zitumie kutafuta hela sasa hatukuelewi mwenzetu. Au ndo mara yako ya kwanza kukatikiwa ndio umesahau kila kitu. 😰
 
Bila picha au video ni uzushi
ephen_
 
Umekula inzi wa chooni mkuu. 😎

-Kaveli-
 
Pole, naona una feel guilty kuspend everything, it's time unajiuliza kama ilikuwa worth it, the way ulivyo in denial unaona ni sawa kuspend everything kwa miuno uliyopata. Hata walevi huwaga wanajiulizaga hivyo hivyo lol

Anita, ushaolewa? au bado?

-Kaveli-
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…