Nimeelewa Kwanini?

Nimeelewa Kwanini?

Brave_Idiot

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2023
Posts
209
Reaction score
368
Sababu ya mfanyakazi anaye hustle 24/7 kula 400k monthly huku Boss aliyekaa tu anakula 5M+,

oa wakuu wamiliki wa biashara wanatake risk! Yaani anguko lolote ni lake, we chako kiko standard, ko wakuu Milikini biashara na nyie mjionee 🤣 hizo stress
 
Sababu ya mfanyakazi anaye hustle 24/7 kula 400k monthly huku Boss aliyekaa tu anakula 5M+,

oa wakuu wamiliki wa biashara wanatake risk! Yaani anguko lolote ni lake, we chako kiko standard, ko wakuu Milikini biashara na nyie mjionee 🤣 hizo stress
Wewe unamiliki biashara gani, tuanze nawewe kwanza
 
Wewe unamiliki biashara gani, tuanze nawewe kwanza
šŸ˜… biashara zetu ma under cover, Kuna mshenzi naona kama anaelekea kunitapel ndo maana nimeandika hii post, ni famous kiasi vp nikitembelee kituo? Ni tzs 230 nilimtumia
 
Back
Top Bottom